East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Kikao pekee kilichompitisha mgombea uraisi ni Mkutano mkuu wa CHADEMA ulikofanyika Mlimani CITY.Baada ya kumpitisha mkutano mkuu hatua ya pili ilitakiwa Jina la Lowassa lipelekwe kwenye kikao cha UKAWA .
Baada ya kikao cha viongozi wa UKAWA kukaana kujadili na kumptisha Lowasa kuwa ndie mgombea wa UKAWA ndipo UKAWA wangempa kibali Lowassa kupendekeza jina la mgombea mwenza kutoka vyama vinavyounda UKAWA.
Hapo angepeleka maombi kwa chama husika kimruhusu mtu anayempendekeza agombee kama mgombea mwenza.
Chama anakoomba kingeitisha kikao halali cha kujadili ombi hilo na kutoa ruksa kama huyo aliyeombwa abadili chama kwa ruksa ya kikao halali cha chama.
Baada ya hapo Chama husika kingetoa ruksa ya kuhama na kuwajulisha washirika wa UKAWA kwamba kimeridhia kama chama.
Hapo CHADEMA wangetoa kadi kwa mhusika na kuitisha tena mkutano mkuu wa kuridhia uteuzi wa huyo mtu ndani ya CHADEMA
Lakini ule mkutano mkuu wa CHADEMA ukafanya yote,Ukajifanya mkutano mkuu wa CHADEMA na mkutano mkuu wa UKAWA na tawi la kugawa kadi kwa wanachama wapya na kuwatangaza wagombea wenza!
Seif sharif Hamad akakubali kitu kisichokuwepo kiutaratibu ndani ya CUF na kusema anashukuru lowasa kama raisi mgombea na mgombea mwenza kuwa duni haji akageuza mkutano mkuu wa CHADEMA kuwa mkutano mkuu wa UKAWA na Mkutano wa baraza kuu la CUF!!!!!! bila agenda wala chochote.
Kiutaratibu Lowassa bado hajaidhinishwa na mkutano wa Viongozi wa UKAWA kile kilichofanyika mlimani CIty ULIKUWA mkutano mkuu wa CHADEMA sio MKUTANO mkuu wa UKAWA.
Hivyo UKAWA bado hawajapata mgombea Urais na mgombea mwenza hadi pale kikao cha UKAWA. kitakapofanyika.
Baada ya kikao cha viongozi wa UKAWA kukaana kujadili na kumptisha Lowasa kuwa ndie mgombea wa UKAWA ndipo UKAWA wangempa kibali Lowassa kupendekeza jina la mgombea mwenza kutoka vyama vinavyounda UKAWA.
Hapo angepeleka maombi kwa chama husika kimruhusu mtu anayempendekeza agombee kama mgombea mwenza.
Chama anakoomba kingeitisha kikao halali cha kujadili ombi hilo na kutoa ruksa kama huyo aliyeombwa abadili chama kwa ruksa ya kikao halali cha chama.
Baada ya hapo Chama husika kingetoa ruksa ya kuhama na kuwajulisha washirika wa UKAWA kwamba kimeridhia kama chama.
Hapo CHADEMA wangetoa kadi kwa mhusika na kuitisha tena mkutano mkuu wa kuridhia uteuzi wa huyo mtu ndani ya CHADEMA
Lakini ule mkutano mkuu wa CHADEMA ukafanya yote,Ukajifanya mkutano mkuu wa CHADEMA na mkutano mkuu wa UKAWA na tawi la kugawa kadi kwa wanachama wapya na kuwatangaza wagombea wenza!
Seif sharif Hamad akakubali kitu kisichokuwepo kiutaratibu ndani ya CUF na kusema anashukuru lowasa kama raisi mgombea na mgombea mwenza kuwa duni haji akageuza mkutano mkuu wa CHADEMA kuwa mkutano mkuu wa UKAWA na Mkutano wa baraza kuu la CUF!!!!!! bila agenda wala chochote.
Kiutaratibu Lowassa bado hajaidhinishwa na mkutano wa Viongozi wa UKAWA kile kilichofanyika mlimani CIty ULIKUWA mkutano mkuu wa CHADEMA sio MKUTANO mkuu wa UKAWA.
Hivyo UKAWA bado hawajapata mgombea Urais na mgombea mwenza hadi pale kikao cha UKAWA. kitakapofanyika.