Wakuu naomba mnisaidie kunipa ufafanuzi na kujua mfumo wa vyeo vya jeshi la magereza tanzania toka juu mpaka chini.Pia ninaomba kujua mshahara na marupurupu wayapatayo maaskari wa jeshi la magereza Tanzania wenye proffession. Nina interest ya kujiunga na jeshi hilo kama ikiwezekana sipendi...
Wakuu ninaomba kwa anayefahamu kuhusu hivi vitu yaani chuma ulete, ngekewa , liwa, maji meusi na vingine vikihusishwa na utajiri. Naomba mnifafanulie ni vitu gani? huwa navisikia ila sivielewi.
Mwalimu kutoka shule ya Vikindu sekondari Mkuranga karibu na dar es salaam, anatafuta mwalimu wakubadilishana kituocha kazi kutoka mji wa Makambako - Njombe. sababu kumfuata mumewe. pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.