Jackton Manyerere na style yake ya kuandika ni HATARI kwa TAIFA.....HAFAI.....Manyerere takribani miaka mingi sasa amekuwa akiandika makala nyingi sana kuhusu sakata la LOLIONDO....cha kushangaza ni kwamba kila wakati maandishi yake ni kubeba na kuisifia kampuni ya OBC.....Manyerere yeye hajui...
Mh. MAKINDA NA NDUGAI wameonyesha upeo mdogo katika kufanya maamuzi ya misingi kwa kutoa miongozo iyonatija kwa kuipendelea CCM na serikali bila kujua kwamba hujuma hizi zinawalenga na kuwaumiza watanzani wengi.....Halafu Makinda alitumia jina la WATANZANIA VIBAYA....eti kwamba kusema kitendo...
Makinda -(MB) analiabisha sana Bunge....na wa mama wenyewe umri kama wake kwa kuliendesha bunge vibaya kuliko kawaida.....Mkinda amedhalilisha hadhi ya BUNGE ......BUNGE wakati wa Mh. SITA kwa kweli hadhi yake ilikuwa juu sana kuliko ilivyosasa....Mh. Ndugai ndiye kabisa ameshindwa kuliendesha...
Manyerere Jackton Shukurani kwa kutoa habari ndefu na cha kina sasa baada ya kusoma makala yao kuna maswala kadhaa za kuyatolea majibu zaidi ili kuweza kufanya wasomaji wako waelewe unachokisemea...
1. Je wewe unapenda Mazingira na uhifadhi zaidi wanyama pori zaidi kuliko watu ? ( Tumeona...
Kweli kwenye misafara ya watu pia KENGE wapo....... discussions kama hizi sio mzaha wewe......keep your words to your wife au husband if you have one.....
Wasalaam, JF.
Mh. Zitto Kabwe, mbunge machachari lakini very controversial sometimes, he moves mountains and he breaks new gounds and raises good debates on any topic and wins sometimes support of the public lakini wakati mwingine sijui has quick reverse ... Mimi kwa kweli nilimpongeza Mh...
Kwanza kabisa, Mawaziri watakaofukuzwa kwa usifadi uliofanyaki katika wizara zao, ni maoni ya wananchi kwamba watafikishwa mahakamani haraka iwezekanavyo ili pia mawaziri watendewe haki inayostahili kwani wakiachwa wananchi wataendelea kuwahukumu pengine pasi sawa au ukweli kamilifu. Taifa...
AG vs. Lissu nani zaidi wote ni wanasheria sasa nani kati yao ametoa ufafanuzi mzuri wa kanuni ? Naibu Spika ameshindwa kabisa kutoa mwongozo mpaka imebidi ahairishe bunge huku akitupa swali kwa kamati ya kanuni ambayo kazi yake ni kumshauri Spika..... hapo ni siasa tu msitarajie kitu hapo...
Nimesikiliza kwa umakini wa hali ya juu hotuba ya Ismail Jusa akimjibu Samwel Sitta. Kwa kweli wanasiasa wa aina ya Ismail Jusa kwa kweli ni hatari kwa Amani, mshikamano na Muungano wa Tanzania na ni hatari kwa Taifa. Mimi sijui hii nchi inakwenda wapi ....wakiongea watu wengine maneno hayo ya...
Kwa kweli hapo kwa Marmo sina IMANI na RAIS pamoja na wote waliomshauri kwa hilo .........Naomba kutoa hoja !!!! hakuna future hapo....hivi kustaafu kuna shida gani even after a person has saved in different capacities mbaya zaidi hata hana record ya kufanya mambo mazuri katika taifa hili ? (I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.