measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
naangalia tbc rais anawaapisha mabalozi wapya 7. Vigezo vya kuwateua nadhani ni baada ya kubwangwa ubunge na wananchi. Marmo amekuwa mbunge wa Mbulu kwa muda mrefu na huko Mbulu hakuna maendeleo yoyote, huko China atafanya nini cha manufaa kwa Tanzania? Kichwa kinauma!