Kwanza kabisa, Mawaziri watakaofukuzwa kwa usifadi uliofanyaki katika wizara zao, ni maoni ya wananchi kwamba watafikishwa mahakamani haraka iwezekanavyo ili pia mawaziri watendewe haki inayostahili kwani wakiachwa wananchi wataendelea kuwahukumu pengine pasi sawa au ukweli kamilifu. Taifa lijenge hulka ya kuwapeleka Mahakamani wale wanaoshindwa kusimamia ofisi za umma ipasavyo ili pia ukweli ujulikana kwa uhakika.
Baada ya utangulizi huo haya ni mapendekezo ya baraza jipya la mawaziri rais anategemewa kufanya uteuzi stahiki kama ifuatavyo.
Wizara ya Fedha - Abdallah Kigoda
Wizara Africa ya Mashariki -Bernald Membe
Wizara ya Maliasili na Utalii- James Lembeli
Wizara ya Nishati na Madini- Kafumu
Niabu Wizara ya Nishati na Madini- January Makamba
Wizara Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa- Asha Rose Migiro
Wizara ya Viwanda - Prof. Tibaijuka
Naibu Waziri Viwanda - Filikunjombe
Wizara ya Sheria - Dr. Harison Mwakiembe
Wizara TAMISEMI- Mzee Samweli Sita
Wizara ya Ardhi- Mzee Magufuli
Wizara ya Uchukuzi - Ole Meedeye
Wizara Miundo mbinu - Selina Kombani
Wizara ya Afya- Agrey Mwanri
Utafiti unaendelea kupata maoni ya watu.....
Karibuni kwa Maoni Jamani
Baada ya utangulizi huo haya ni mapendekezo ya baraza jipya la mawaziri rais anategemewa kufanya uteuzi stahiki kama ifuatavyo.
Wizara ya Fedha - Abdallah Kigoda
Wizara Africa ya Mashariki -Bernald Membe
Wizara ya Maliasili na Utalii- James Lembeli
Wizara ya Nishati na Madini- Kafumu
Niabu Wizara ya Nishati na Madini- January Makamba
Wizara Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa- Asha Rose Migiro
Wizara ya Viwanda - Prof. Tibaijuka
Naibu Waziri Viwanda - Filikunjombe
Wizara ya Sheria - Dr. Harison Mwakiembe
Wizara TAMISEMI- Mzee Samweli Sita
Wizara ya Ardhi- Mzee Magufuli
Wizara ya Uchukuzi - Ole Meedeye
Wizara Miundo mbinu - Selina Kombani
Wizara ya Afya- Agrey Mwanri
Utafiti unaendelea kupata maoni ya watu.....
Karibuni kwa Maoni Jamani