mi nilikuwa nangalia idadi ya watu waliopiga kura tu, kama ni kweli walijitokeza hakuna uchakachuaji basi watanzania tumemka yawezekana 2015 70% ya waliojiandikisha wakapiga kura.
Hah hah hah hah...............!
Nimekuelewa kaka, kweli kabisa arifu, sasa tu-deal na mpando wa bei ya umeme, kushuka kwa elimu na uanzishwaji wa viwanda vya magari kama mgongo wa chura, 501, combi na mengineyo kwa maana maisha hivi sasa ni kama zamani, kwani si tunaona vitanda vya mbao...
Ally Bananga ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaa....! Meya ni bora angastuke mapema huyu jamaaa ni kwere na naamini 2015 Lema atapata shida sana maana lazma apate upinzani tu kwa huyu jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.