Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Mama yake Mtela Mwampamba ni mwanachama wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Siasa bila majungu zinawezekana pia jamani. Ni wangapi wanatofauti za kiitikadi na wazazi wao?

Nafikiri tatizo hapa sio mtu kuwa na itikadi tofauti na wazazi wake, tatizo ni propaganda za Mtela kwamba CDM ni chama cha kaskazini wakati mama yake mzazi ni kamanda kwenye hiki chama. Sasa je huyu mama naye anatoka kaskazini?

Tiba
 
Unajua baada ya yule mtuma Mpesa kuharibikiwa mambo yake sasa kijana anajijutia na nafsi yake. Ila maandiko yanasema sameheni sabini mara saba hivyo kijana akitubu asamehewe maana alikuwa hajui atendalo. Matusi aliyokuwa akitukana viongozi ni wazi alikuwa ana mtukana hata mamaye mzazi maana naye ni kiongozi.
 
Hii ndio malipo ya usaliti safi sana mama tuko pamoja ccm ni tishio kwa uhai wetu
 
Yaani mmemuona Mtela tu kwani Mzee wenu Wassira hana watoto huko CHADEMA kwenye Saccoss yenu ? Itikadi zinatofautiana tu lakini maisha yanasongaa..
 
Unajua baada ya yule mtuma Mpesa kuharibikiwa mambo yake sasa kijana anajijutia na nafsi yake. Ila maandiko yanasema sameheni sabini mara saba hivyo kijana akitubu asamehewe maana alikuwa hajui atendalo. Matusi aliyokuwa akitukana viongozi ni wazi alikuwa ana mtukana hata mamaye mzazi maana naye ni kiongozi.

Kwa alivyokuwa akitukana viongozi, laana yake kamwe haiwezi kumtoka!
 
Yaani mmemuona Mtela tu kwani Mzee wenu Wassira hana watoto huko CHADEMA kwenye Saccoss yenu ? Itikadi zinatofautiana tu lakini maisha yanasongaa..

Hata yeye analaana ya kuwakana wanae!
 
attachment.php
 
Kila mtu yupo sahihi Mtela na mamaye wote wapo sahihi maana katiba imetoa uhuru wa kila mtu kuabudu kupitia dini aipendayo na kujiunga ama kushabikia chama cha siasa akipendacho ili mradi havunji sheria za nchi.
 
Kila mtu yupo sahihi Mtela na
mamaye wote wapo sahihi
maana katiba imetoa uhuru wa
kila mtu kuabudu kupitia dini
aipendayo na kujiunga ama
kushabikia chama cha siasa
akipendacho ili mradi havunji
sheria za nchi.
 
Njaa mbaya sana, ukipatwa nayo hutoweza kufikiria kwa kina utabaki ukiongozwa na tumbo tu kama huyo jamaa.
 
Mods hii haiendani na hadhi ya JF! Mambo ya facebook chadema wanaleta hapa JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom