Recent content by kibohehe

  1. K

    Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

    <p> </p> <p>&nbsp;</p> asante kwa ujumbe lakini kwanini tusigawane majukumu babu aponye mwili nyie wenye wasiwasi kupoteza mafungu ya kumi na malimbuko mponye roho ////////////////
  2. K

    DOWANS wawasha Mitambo yao

    <p> </p> <p>&nbsp;</p>JAMANI JAMANI MBONA MABABU ZETU KINA MKWAWA MELI KINJIKITILE NK TUNA AMBIWA WALIKUWA MAJASIRI MPAKA WAKOLONI WANAKIMBIA SISI TUNA LAANA GANI ??? MPAKA TUNATAWALIWA NA WAKIMBIZI KAMA ROSTAM ??
  3. K

    Polisi yatembeza mabomu kwa wananchi Arusha

    Nakubaliana na mwana jf newdawntz kuwa polisi wameasi kiaina ili kutibua hasira za wananchi kwani toka jana nilishangaa kuona idadi kubwa sana ya ffu mitaani )
  4. K

    Polisi yatembeza mabomu kwa wananchi Arusha

    Sio mawili ni matatu lakini usijali siku inakuja soon hata sisi tunajua kulipua kwani milipuko ya mererani sio milipuko tutahamishia hapa tu tuone basi; vijana wako hatua za mwisho mwisho kwenye hili zoezi
  5. K

    Makombora yatua nyumbani kwa Pinda - Askari Wafuta Picha

    <p> </p> <p>&nbsp;</p>hapa hakunakitu bwana ni mafisadi wamelipua ili tusahau dowans si ajabu tukiwa busy na mabomu tukasikia tayari wameshalamba hawana huruma hawa watu
  6. K

    Busara za MIZENGO PINDA ziko wapi?

    <p> </p>kwa taarifa yako na wengine arusha ni kitega uchumi cha mafisadi wa daraja la pili ambao ndio wabaya zaidi na hawako tayari kuipa cdm nafasi miaka kumi manicipal haijawahi kufanya chote miundo mbinu mibovu ooooooo <p>&nbsp;</p>
  7. K

    Conspiracy theories behind Gongo la Mboto bombs

    <p> </p> hivi hatuwezi kufanya kama amerika usa serikali itoe siku moja ya kuombea taifa wakristo waende kanisani waislam waende msikitini jambo hili lifanyike kila mwaka mara moja <p>&nbsp;</p>
Back
Top Bottom