Recent content by KIBANDAMAJI

  1. K

    Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

    Mabadiliko haya yangekuwa yafanya ke mwaka 2019 ila waziri wa elimu alishasitisha kutokana Changamoto za miundombinu na walimu. Hasa kuwezesha madarasa mwili std vi na vii kuingia kidato cha kwanza kwa pamoja. Pia miundombinu haijaansaliwa kumudu Idadi ya watoto watakao hitajika kuingia form I.
  2. K

    Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

    Sera ipo mtandaoni naomba wadau ipakueni na kusoma. Sera omeondoa elimu ya msingi (primary education) na kuwa elim msingi ( basic education) na mfumo huo unabadiloka kutoka 1+7+4 +2 +3+ na kuwa 1+10 +2 +3+. Sera hii sasa in a raja kuwa elimu ya chini ni kidato cha nne. Hivyo mwanafunzi...
  3. K

    Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

    Matayarisho ya sera hii ya linaanza kushirikisha wa dau mwaka 2008 na kukamilika 2014. Maadiliko yaka an za mwaka 2015 kwa kubadilisha mita ala ya std 1& 2 kisha 3&4 na 5&6 imefanyika mapema mwaka huu. Pia mafunzo ya mabadiliko ya mitàala kwa darasa la awali ili fanyika mwaka huu mwanzoni.
  4. K

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Ili uzalishaji uongezeke ni muhimukubadili mfumo wa ajira kutoka ajira ya kudumu na pensheni juu ambao unatumika kwa sasa na kuwa ajira kwa mkataba. Hapa uzembe katika kufanya kazi hasa katika ofisi za umma utakoma na uzalishaji wa tija utakuwepo.
  5. K

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Mtume sliwaagiza pale Madina. Madina kuwa wa ki maliza kuswali waende kufanya kazi. Tambua kuwa wa Islam hawana siku ya saba ila wana siku 5 mbili Jumatano na Alhamisi zote ni 5 na wanatambua kabisa kuwa Mtume aliswali siku ya maandalizi ya Sabato.
  6. K

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Imani ya Sabato ni conservative na sio liberal. Wenye imani ya ki liberal wao wanaona kama wewe na hawaoni Ugumu wa kufanya shughuli zao siku ya ibada yao.
  7. K

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Jibu ni rahisi sana soma kitabu cha kutoka sura ya 20 aya ya 8-11. Neno msisitizo USIFANYE KAZI YOYOTE. Zingatia Kazi YOYOTE.
  8. K

    Kicheko Ni Afya, Njoo Uondoe Stress Hapa Muhimu Kwa Afya Yako

    Hii inapatikana kitabu gani. Nimeipenda Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Nahitaji past papers za form 5 na 6 ntatoa hela yoyote ukinifanikishia

    Inaonyesha hujui kutumia shule direct au thl huko utapata kila kitu sio past papers tu pia na majibu yake. Shule direct ni free ila thl una lipi a kwa mwaka 12000 tu. Itumie it akusaidie sana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Style za Tendo zinauhusiano wowote na utungaji wa mimba.??

    Ndiyo au hapana: Ndiyo: 1. Mimba ya mtoto gani: ikiwa ni wa kiume style ya deep ndiyo yenyewe kwani mgeguya kiume huwa na nguvu zaidi ikiwaitamwagwa kweye eneo la alkaline ambalo kimsingi liko ndani zaidi kwenye uke. kwa mtoto wa kike mbegu ya kike inapenda zaidi eneo la acid ambalo liko karibu...
Back
Top Bottom