July 31, 2020
Rais John Magufuli na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni wamekubaliana kurejesha kwenye Ikulu zao mchakato wa kutandaza bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki.
Bomba hilo linaloanzia Hoima, Uganda na kuishia Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, limekwama baada ya kuwepo kwa...
Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda aliyekamatwa na Jeshi la Polisi siku nane zilizopita (Julai 9, 2020) yuko Kituo cha Polisi Magomeni jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa amekuwa akihamishwa kituo kimoja hadi kingine lakini akipelekwa Kituo Kikuu kwa ajili ya kuhojiwa...
Hiyo hakuna majungu wala chenga, mimi pia nilinunua unga pale ulikuwa mbovu. TFDA wanakomaa na rushwa za vipodozi (Cosmetics) hawataki kukagua vyakula (Food). Vet supermarket Oil Com tunawaomba mjirekebishe la sivyo ni kuwatangaza kwenye vyombo vyote vya habari watu waache kuja kununua kwenu...
Kwa kweli hiki ni kiama mshahara wa wafanyakazi ni kidogo sana nimepiga mahesabu nimebakiwa na sh elfu arobaini na tano baada ya kutoa umeme, gesi, pango, nauli na maji je bitawza kuishi na elfu 45000 kwa mwezi? Mimi ni mwalimu ninadegree ila bado nalipwa mshahara wa certificate. Nifanyeje mm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.