Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda aliyekamatwa na Jeshi la Polisi siku nane zilizopita (Julai 9, 2020) yuko Kituo cha Polisi Magomeni jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa amekuwa akihamishwa kituo kimoja hadi kingine lakini akipelekwa Kituo Kikuu kwa ajili ya kuhojiwa kila alfajiri.
Soma hapa Sheikh Ponda anaendelea kushikiliwa na Polisi – Siku ya 8
Inadaiwa amekuwa akihamishwa kituo kimoja hadi kingine lakini akipelekwa Kituo Kikuu kwa ajili ya kuhojiwa kila alfajiri.
Soma hapa Sheikh Ponda anaendelea kushikiliwa na Polisi – Siku ya 8