Ni kilio kwa kwenda mbele mwaka huu. Yule mama yetu Makinda alionewa sana lakini akawa na busara kwa akina Lissu. Sasa kaja mwanasheria mwezao tena PhD, sasa sijui anakiukaje kanuni.
Sidhani kama takwimu hizi ni current....Tanzania tupo 50 plus sasa hivi. Lakini utajiri haupimwi kwa kias cha GDP, na ndiyo maana utaona Botswana iko chini ya TZ lakini ukifika Botswana wananchi wana maisha mazuri zaidi. Pato la kila mtu Tanzania ni dola 1000 kwa mwaka tuko nyuma sana. Zambia...
Alidhulumiwa nini na nani? Unakaa unafikiria bila kuona mbele, hivi watu wangepiga kura kwa wabunge wa ccm halaf wamchague rais lowassa? kweli hizi logoc rahis zinakushinda kujua ubaki kusema amedhulumiwa? this is just an amazing little thinking capacity....
Hoja hii imekaa ki udini udini hivi.....ukiisoma vizuri sana unaona anamaanisha nini lakini angalia hii
link.....https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
tafuta Tanzania halaf nenda people and society then endelea na mawazo ya kisanii kama haya
Magufuli mzuri sana na kwa bahati nzuri Urais ni taasisi kubwa sana....kuna wasaidizi wa kila upande ila inahitajika nguvu kufatilia mambo kwa nchi kama yetu....ukienda slow umepigwa na hakuna kazi.
Hapa wote tuna akili, hivi kweli mnamsikia Lowasa akiongea? Kweli kila mtu anaweza patwa na chochote na hujafa umeumbika, kweli Lowasa anaweza kuongea jamani, mimi namkubali sana lakin naona kama jamani hebu tuwe fair kwa nchi yetu labda kama ni wasaidizi tu wataendesha nchi. Hakuna mtu anamweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.