Recent content by KIBAHA ONE

  1. K

    Mchange asili yako wapi?

    Wana bodi, Nimeamua kuleta mada hii ili mhusika aeleze ukweli juu ya asili yake. Nimeuliza jambo hili kwa kuwa amekuwa akibeza kila kinachofanywa na watu ambao si wenyeji wa mkoa wa Pwani hasa ktk masuala ya kisiasa kwa kisingizio kuwa mambo ya Pwani waachiwe watu wa Pwani akiwemo Habibu...
  2. K

    Mhe Koka asema Watumishi wa Mahakama wanachukua Rushwa

    Mbunge wa Kibaha mjini leo asubuhi ktk kipindi cha maswali na majibu Bungeni, amesema kuwa watumishi wa idara ya mahakama wanapokea rushwa, kutokana na maslahi duni. Mimi najiuliza kuwa kama Wabunge wa CCM mnajua kuwa maslahi ya watumishi wa Serikali ni duni, mbona huwa mnawapinga wabunge wa...
  3. K

    Mbunge wa Kibaha Mjini aanza kudandia miradi

    Wanabodi wa JF. Mbunge wa Kibaha Mjini Mhe, Koka kwa kukosa cha kuwaeleza wananchi wa Jimbo la Kibaha Mjini juu utetezi wa Kero za wananchi wa Kibaha Mjini, na alivyofanikiwa kuzifikisha Bungeni na kuweza kupata Rasilimali za kuziondoa kabisa au kuzipunguza, ameenza kudandia Miradi...
  4. K

    Mhe, Zito Kabwe hawa Jamaa wa CHAUMA wanakuchafua

    Wanabodi wa JF Nimeamua leo kumueleza Mhe, Zito Zuberi Kabwe Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara), kuwa kuna watu walio karibu nae wanaendelea kulipaka matope jina lake. Watu hao wakiongozwa na Habibu Mchange ambaye ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Pwani wa Chama cha CHAUMA, wanaendelea kuwaeleza wafuasi...
  5. K

    Poleni sana wana Arusha

    Habari za jioni wana J. Tumepokea yote yaliyowasibu ndugu zetu wa Arusha kwa masikitiko makubwa sana, pia mwanzoni hatukuweza kuamini kuwa Tz imefikia kuwa nchi za Watu wanaoua wenzao kama wanauwa simba, nyati na wanyama wengine wa porini, kwa kweli inataka moyo kuamini yanayotokea. Kuna mambo...
  6. K

    Kijana Amiri Mtoi mhanga wa bomu la Arusha amezikwa leo Mkuzi - Lushoto.

    Poleni sana ndugu zetu. Tunaamini kuwa Damu zao zilizomwagika zitakuwa chachu ya mafanikio ya kuwaondoa Watawala dhalimu ambao wanawaza kukatisha maisha ya wale wanaohatarisha utawala wao
  7. K

    Mhe, koka auziwa mbuzi kwenye gunia

    Mbunge wa Kibaha Mhe, Silvester Koka ameuziwa mbuzi kwenye gunia siku ya tarehe 04/05/2013, baada ya kuaminishwa kuwa anakabidhiwa Bendera ya CHADEMA na Kiongozi wa CDM kutoka maeneo ya Mpiji yaliyopo katika Kata ya Mailimoja Ndg Adamu Juma, wakati Adamu Juma alifariki dunia tokea tarehe...
  8. K

    Nape: CHADEMA wana Kifafa cha Kisiasa! Awafananisha na nguruwe...

    Habari wa JF, Kwa heshima kubwa napenda kupingana na hoja za Mhe Nape hasa kwa kuudanganya umma wa WTZ kuwa CCM imeshinda katika uchguzi wa kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ngazi ya Wilaya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuwa iliwaandaa vizuri wafuasi wake. kwa hakika nashawishika...
  9. K

    Nape: CHADEMA wana Kifafa cha Kisiasa! Awafananisha na nguruwe...

    Habari wa JF, Kwa heshima kubwa napenda kupingana na hoja za Mhe Nape hasa kwa kuudanganya umma wa WTZ kuwa CCM imeshinda katika uchguzi wa kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ngazi ya Wilaya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuwa iliwaandaa vizuri wafuasi wake. kwa hakika nashawishika...
  10. K

    Vinasa sauti vyanaswa kikao cha mafunzo ya CHADEMA

    Siku ya kufa nyani miti yote inateleza.
  11. K

    Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

    Mwigulu yule anayetumia jina la mtu mwingine ndiye maarufu Bungeni ?. Labda umaarufu wake ni kuweza kutumia jina la Msukuma alichunga ng`ombe kule Igunga. WT tusishabikie wapotoshaji na watesaji, leo unashangilia siku atakapokugeukia utamuelewa.
  12. K

    Siku 5 zinatosha kuimaliza CCM nje ya Bunge.

    Makamanda karibu Kibaha, tuendeleze M4C. Kila wanapowasulubu Bungeni, Njooni kwa Wananchi tuwamalize.
  13. K

    M4C Kibaha: Shukrani Isiyo Rasmi kwa Polisi

    Ukweli ni kwamba wale Polisi niliyoeleza kuwa walikuwa wanachukua namba za pikipiki na magari yaliyoshiriki katika mapokezi ya Viongozi walishiriki katika uzinduzi wa M4C Kanda ya Pwani walifanya kazi hiyo kwa usiri mkubwa na Kiongozi wao walikuwa ASP Rashidi. Muulizeni ASP Rashidi akanushe
  14. K

    M4C Kibaha: Shukrani Isiyo Rasmi kwa Polisi

    Nilichosema kuhusu Polisi kuandika namba za Pikipiki na Magari yote yaliyoshiriki katika mapokezi ya viongozi walikuja Kibaha kwa ajili ya uzinduzi wa M4C Kanda ya Pwani ni kweli tupu. Aidha kundi hilo la Askari hao walikuwa wameongozwa na ASP Rashidi, Kwa jinsi walivyokuwa wanafanya kazi hiyo...
  15. K

    Madudu ya polisi Kibaha katika mkutano wa uzinduzi wa M4C kanda ya Pwani uliofanyika Kibaha

    Wana JF. Kwa kweli unaweza usiamini ninachokieleza hapa, lakini ni cha kweli na hakina chembe ya uongo. Baadhi ya Polisi ambao walitakiwa kulinda mkutano wa uzinduzi wa M4C walikuwa wanafanya mambo ambayo kwa kweli huwezi kuamini kuwa yanafanywa na Jeshi la Polisi ambalo mishahara yao inatokana...
Back
Top Bottom