Recent content by ki2kizito

  1. ki2kizito

    Wale wapigaji wa maji au vyombo tukutane hapa

    Kitu zanz ongeza chini
  2. ki2kizito

    Wakaka hivi wadada tunapokuja kwenu alafu mnatuacha tunaondoka hivihivi huwa mnamaana gani?

    Wanawake mna mambo, ukitakwa unajifanya hukuja kwa kazi hiyo, ukiguswa unajifanya mkali, ukiwashiwa TV hutaki sasa mnatakaje? Tendo hilo pia lataka maandalizi, kama unakuja kwa kazi hiyo niandae.
  3. ki2kizito

    Kwa wale wanaopenda kuwa wake wa wazungu sikilizeni hili

    Mmmmmh hii nayo kali, lakini yaweza kuwa kifo cha kawaida Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ki2kizito

    Nimekuwa na wivu mpaka najiogopa

    Njoo ufanyiwe maombi!!!! [emoji441][emoji441][emoji441][emoji441] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. ki2kizito

    Nimekuta mkaka kaandika hivi, jamani eti ni kweli?

    Huyo kachacha kama sio kuchemsha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. ki2kizito

    Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

    Mgeni kaja na mchepuko wake au mchumba wake halafu wanaanza kubusiana na kukumbatiana sebuleni kwangu sipendi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ki2kizito

    Msaada mtoto amekunywa mafuta ya taa.

    Anagalia yanaweza kumsababishia pneumonia Kama yameingia kwenye njia ya hewa na dalili yake ya kwanza ni kukohoa, lkn kama hayajaenda huko yakiwa kwenye mfumo wa chakula kama ni mengi ataharisha, na kama ni kidogo hayana madhara sana na anaweza asihitaji dawa yoyote na hasa kama hahatishi wala...
  8. ki2kizito

    Nimeokota smartphone Ina bonge la password wanatoaje nielekezeni

    Hiyo yangu nimeipoteza leo na aina yake ni W4 tecno
  9. ki2kizito

    Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Suicide mission kwa Mara ya kwanza kuiona wote tuliokuwemo uimbini tulitokwa na machozi
  10. ki2kizito

    TAIFA STARS V/S BAFANABAFANA

    Usishangae na Zambia tukawabahatisha kibahatibahati hivyo japo matumaini ni finyu
  11. ki2kizito

    TAIFA STARS V/S BAFANABAFANA

    Ni kweli mpira wetu haukuwa mzuri sana lakini ukizingatia ukomavu wetu kimataifa na bafanabafana, pia ukizingatia uenyeji wao yote hayo yalitosha kutufanya tuathirike kisaikolojia na kukosa confidence mchezoni
  12. ki2kizito

    TAIFA STARS V/S BAFANABAFANA

    Asipokoment [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  13. ki2kizito

    TAIFA STARS V/S BAFANABAFANA

    Jamani Leo angalau tumejitahidi kumtoa muandaaji wa mashindano ya kombe la cecafa, Tanzania tumeng'ara. Furaha niliyonayo haina kifani
Back
Top Bottom