Ni kweli mpira wetu haukuwa mzuri sana lakini ukizingatia ukomavu wetu kimataifa na bafanabafana, pia ukizingatia uenyeji wao yote hayo yalitosha kutufanya tuathirike kisaikolojia na kukosa confidence mchezoniLakini.mpira tuliocheza ulikuwa mbovu sana!
Wabongo bwanabora tungemwachia bafana bafana apite nusu fainali Mpira mbovu sana tumecheza hlf defence haikutulia kabisa bafana walishindwa wenyewe tu wamechezea nafas nyingi mno sema siku ya kufa nyani ndio hivyo tena lkn sijipi matumaini ya kufika fainali kabisa ispokua tulipofikia sio mbaya kwa soka letu la kibongo bongo
Lakini.mpira tuliocheza ulikuwa mbovu sana!
tuchambulie bas kdgWabongo bwana
Siyo cecafa ni cosafa mkuuJamani Leo angalau tumejitahidi kumtoa muandaaji wa mashindano ya kombe la cecafa, Tanzania tumeng'ara. Furaha niliyonayo haina kifani
Kila kitu wanaponda, vijana wameshinda wanaanza kusema mpira mbovu.. mpira wanini vijana tieni nyavuni tuutuchambulie bas kdg
bora tungemwachia bafana bafana apite nusu fainali Mpira mbovu sana tumecheza hlf defence haikutulia kabisa bafana walishindwa wenyewe tu wamechezea nafas nyingi mno sema siku ya kufa nyani ndio hivyo tena lkn sijipi matumaini ya kufika fainali kabisa ispokua tulipofikia sio mbaya kwa soka letu la kibongo bongo
TehTulishinda kwa teknolojia kutoka MWANZA iitwayo " MBAO STYLE" timu za simba na yanga najua wanajua nini maana ya technolojia hii maana utashambulia wee, utaliona goli ili hapa lakinio utapiga nje au juu. Washukuriwe sana vijana wa mbao waliopo taifa stars nadhani walienda na mikoba husika maana wale wa sauzi walitaka kulia