Recent content by khudu 2017

  1. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Duniani Hakuna Maandamano ya Wanasiasa yaliyoleta Matokeo Chanya

    Tunajua sizonje anataka alipeleke Taifa anavyo taka, Hapo ndio shida inapo anzia.. Hakuahidi Kufuta Mfumo wa vyama Vingi.. Kuzima Bunge.. Kutuletea wasio julikana.. Mauaji ya Watu na kuwafunga kwenye viroba Kisha kuwatosa kwenye maji.. Kukatakata watu..kupiga watu risasi kama Lissu na Madudu...
  2. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania ZAMBIA: Watalii wa kike watakaojihusisha kimapenzi na wanaume wazawa kuchukuliwa hatua

    Tushike kilicho andikwa kwenye Habari.
  3. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Uko Sawa.. Pamoja na kutawaliwa, wengine hawakusubutu kunyang'anywa imani zao.. Na huo ndio utofauti.
  4. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania NEC yamjibu Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu

    NEC.. Wawasilishe hoja za kwa nini wasichukuliwe hatua kwa kitendo chao cha kuchelewesha kutoa 'viapo', Kwa mawakala wa upinzani kama sheria inavyo wataka... Hivyo kuwa chanzo cha Msiba wa Mpendwa wetu Mwanafunzi na kijana mdogo wa umri wa 22.Siku zote nasema 'Chanzo' huko kwingine anatupoteza...
  5. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania NEC yamjibu Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu

    Huyu Mzee anatufanya Watanzania wa leo Mabwiga kivile. Hata anavyoongea anaamini hatuwezi kubaini janja yake.
  6. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania NEC yamjibu Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu

    Huyu ndio 'kinara' wa figisu figisu... Huyu ndio chanzo cha kupigwa risasi Mwanafunzi, majuzi HUYU ndio Mshitakiwa no. 1- Police no. 2.
  7. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Je wa Africa tulikua na imani kabla ya Toleo hili la pili la kiimamani? Kama jibu ni ndio ni Wazi kua tulikua na MUNGU wetu. Wengi wanafikili kwamba Ukoroni ulikuja kuchukua, madini, pembe za Ndovu na kadhalika... Kumbe Mzungu alikuja "kupola... Kila kitu... Madini yetu Imani zetu..kuvuruga...
  8. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    .... Hoja kuntu...Je..wa Africa tulikua na imani kabla ya "Toledo"
  9. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania MwanaKJJ Jumatano: Jaji Kaijage Anapata Shida Kusimamia Uchaguzi TZ?

    Umeniwakilisha vyema Mkuu.
  10. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Mch. Francis Mbalase: Kama mnajua kuombewa mjue pia na kutubu

    Kuna Mmoja alitadhalisha, Kuhusu UTAWARA wa MBWEMBWE!! Nilimwelewa Sana.
  11. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye: Majeshi ya kukodi hayashindi vita!

    Kuna Ulazima wakuja kuyaundia Tume mambo haya ya kutumia kodi zetu KIBABE.
  12. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Liwale CUF Zuberi Kuchauka, muda wowote atahamia CCM

    Pongezi kwa, Katibu Mwenezi Ndugu Polepole. na Mheshimiwa sana Rais Magufuli, Biashara inalipa wazee ila Tukumbuke hii Biashara haikua moja ya Ahadi za Mwenyekiti wetu Mpendwa. Nimalize kwa kusema "Bias hara Haram haijawai Kulipa! Na ikilipa ni kwa mda tu, Mbaya zaidi hizi drama zinafanywa kwa...
  13. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole aongelea Uchaguzi Mdogo katika Kata 43. Asema ushindi wa kata 42 ni salam ya Tsunami inayokuja 2019/20

    "UTAWARA WA MBWEMBWE NI HATARI KWA AFYA YA TAIFA LETU"
  14. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Tunajifunza nini kwa yaliyomtokea Mugabe?

    Hivi Wazungu ndio walio mshawishi amtimue Makam wake? ili nafasi yake ampe mke wake...! Ameji maliza mwenyewe kwa Sumu yake Mwenyewe!
  15. khudu 2017

    JamiiForums Tanzania Gavana wa Kenya amjibu Rais Magufuli kuhusu kukamata mifugo, asema uongozi wake ni aibu kwa Afrika Mashariki

    Kuna Mbunge aliwai sema, Baba Jesiikaa anaongea hovyo... Afungwe break! Aliona mbali.. Na kuna wengine walisema inchi inaendeshwa kama imekatika usukani!
Back
Top Bottom