kiukweli maza hajui kinachoendelea huku ground,
watu hata kama wanaongea upotoshaji ukiuacha uongelewe kwa mda mrefu, kuja kuwabadilisha wanaoambiwa itachukua miongo.
na anatakiwa atuonyeshe kwa ni upotoshaji kwa kutoa maelezo sahihi sio kuwanyamazisha wanaotusanua
Tumekuwa wapumbavu sana kwene hii nchi,
Kukosa maono na mipango ya mda mrefu ndo kunatufikisha hapa.
Yaan nchi ambayo tuna zaidi ya asilimia 70 ya ardhi ambayo haitumiki na ingeweza kufaa kwa kilimo.. tukazalisha mpk tukawa na surplus ya kuuzia majirani... ila bado tunawaza kipumbavu na...
Yaani bado tatizo litakuwa vile vile, mtu kasoma miaka mitatu unakuja kumpa kimtihani ya page tatu afu um judge kwamba hafai kisa kashindwa icho kimtihani... linatengenezwa bomu la kukithiri rushwa kwene upatikanaji wa izo ajira.
Ilitakiwa vigezo vya kusoma ualimu viwe vinachukua wanafunzi...
Uko sahihi kwa kiasi fulani, hii ndo sababu kwa nini serikali ndio yenye mamlaka ya kuprint fedha, lakini hawatumii pesa walizoprint kufanya mambo yao, wanazileta kwene mzunguko then wanadai kodi kwa sisi maskini ili wafanye mambo yao.
Hii ina maana shughuli za uzalishaji ndo zinazocontrol...
Kuna dereva fulani wa kanisa fulani alishatoaga ushuhuda jinsi mambo ya uchawi na huo ulimwengu mwingine unavofanya kazi.
Ni kwa kwamba kwa mtu ambae huna connection na huo ulimwengu, mean hujawahi lishwa wala kupewa ama kuunganishwa na hayo madawa huna uwezo wa kutambua ama kuona kinachoendelea...
Kwa sasa simuoni mwanasiasa anaejaribu kupigania mambo ya msingi kwene jamii yetu kama Bashe.
Ifike mahala watanzania tuwe tunafundishwa mambo ya kawaida ambayo tunahisi tunayaelewa ila kumbe hatuelewi chochote.
Taifa letu inatakiwa lijikite katika shughuli za kubadil rasilimali za asili kama...
Nilichojifunza kwene hii mijadala ni kuwepo kwa watu ambao wana uchache sana wa taarifa sahihi na labda uchache wa uwezo wa kupambanua mambo pia.
Kundi hili limegubikwa na kumuwekea mtu maneno na malengo ambayo muhusika hajawahi kuyasema, yaani ni kama mtu anajielezea kila siku yeye anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.