Recent content by khibi1976

  1. K

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

    Kwa hiyo waliotekwa na kuuwawa wengine kupotea jumla wanajiua wenyewe? Aliyetekwa na kwenye basi mchana kweupe Kisha kuuwawa alijiua mwenyewe, yule aliyetekwa na kupigwa risasu ya fuvu la kichwa Kisha kutupwa mbuga ya katavi ili aliwe na wanyama alijiteka mwenyew!!? Endeleeni kutuonyesha sura...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

    Tatizo bunge let limejengwa katika mfumo ambao unafanya wananchi wasivutike kufuatilia ndio maana wanafuatilia Kenya
  3. K

    JamiiForums Tanzania Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

    Kulikuwa na umuhimu mkubwa,kumwajiri kocha mkuu asimamie zoezi la usajiri ni Kosa kusajiri kwa kutumia ripoti ya kocha aliyeondoka Hawa kila mmoja na msimamo na falsafa yake ndiyo maana mlitaka kumwacha kibu kipindi Nanakuja robentinyo kwa kutumia ripoti ya aliyeondoka lakini alipofika akasema...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Na wao hulipwa posho za per diem?

    Siyo Vibaya kujifunza kw waliokutangulia kiujuzi , ile ni furnace ya waigizaji wetu kupata uzoefu na ujuzi pia kuangalia uwezekano wa kuungana nao katika kazi za Sanaa uandaaji nk, Hawa watu wa Asia nchi nyingi zilizoendelea walikaa Chini wakajiuliza Ili tuwe na maendeleo tunahitaji nini...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Ukiona wenye mali wanageuka kuwa ombaomba ujue akili zao haziko sawa

    Hakuna haja ya kupaniki hajamtaja Mtu jina wala nchi mnajuaje kama kawataja nyingi, hata Congo DRC kuna rasilimali nyingi Kuliko Sisi Kyle Zambia kuna shaba, Zimbabwe Almasi, Botswana kuna Almasi na bado nao ni masikini Nadhani tutumie nauli yake kujitathimini badala ya kulaumu
  6. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Anne Rwigara afariki dunia. Ni dada wa Diane aliyejaribu kugombea Urais dhidi ya Kagame. Mama asema kifo hicho ni fumbo

    Mtawala kwa kunywa Chale alishawaji kusema Mara Nyingine Kuwa mnyaruanda yeyote atakayesaliti nchi watamfuaya sehemu yoyote duniano, na tumeshuhudia majenerali kadhaa waliotoroka na kujificha nchi za Watu wakiuawa mfono jeAfrika kusini na Zambia na Mara zote SERIKALI ilikanusha, sasa jumlisha...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mswada upelekwe bungeni TANESCO ibinafsishwe tu

    Nakumbuka pofesa muhongo aliwahi kushauri Kuwa tuachane na uwekezaji mkubwa kwenye umeme wa maji kwakuwa so wa uhakika kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa Bali tuwekeze kwenye umeme wa gesi na kwamba gesi inaenda Kuwa nishati kuu duniani Latina uzalishaji wa umeme lakini walimpuuza,
  8. K

    JamiiForums Tanzania Epuka matumizi ya madawa ya kuongeza uume na nguvu za kiume

    Hiyo popcon inakiambata cha homoni za kike gestrojen( kama nimekosea kuiadika mnisahihishe) hivyo kushusha homoni ya kiume Na hatimae nguvu kupungua, bia aina zote lia hazifahi kwa afya ya uzazi wa mwanaume nimechunguza bia bia zote nimegundua zina kiungo kinaitwa Hops ambacho kina kiambata cha...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu

    Sawa ila hatujazoea kutosikia taarifa ya ziara ya viongozi mkubwa kama hiyo kusafiri kimya kimya kwa shughuli za kiserikali, Mara zote tumetangaziwa kama ilivyo kwa mama kule Dubai, sasa mtuambie yupo nchi gani? Unions mwananchi wanahoji hii tafsiri take ni Kuwa wana mapenzi men's na viongozi...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Tunauza nguo na viatu

    Mi nipo njombe nilikuwa nahitaji Suruali za kiume za Kitambaa na mashati ya kiume , being ya jumps na rejareja ni Shs ngap
  11. K

    JamiiForums Tanzania Usiache kula karanga kamwe

    Sawa fenedi kama lina Atari chanya Sawa na Katanga Basi litakuwa na madini ya zinc, na kwa Faida ya wengi zinc pia ni kinga dhidi ya tezi dume
  12. K

    JamiiForums Tanzania Usiache kula karanga kamwe

    Kuhusu kula Karanga na kupata choo lakini au kuendesha INA wezekana unakula Karanga zisizokuwa safi jaribu kuziosha ikiwezekana na maji ya moto ili Kuwa na vijidudu pia kula wastani wa kiganja kimoja kwa Siku, kwa kuongezea Faida Nyingine ya kula Katanga INA let's afya ya Moyo na kukukinga na...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Usiache kula karanga kamwe

    Naomba elimu kidogo hapo kuhusu fenesi INA Virutubisho gani ? Mi ni mpezi wa Genesis, kuhusu Katanga najua INA madini ya zinc ambayo ndiyo yana Mchango katika afya ya mfumu wa uzazi kwa ujumla, kwa Shaka LA kuongea uwingi wa shahawa najua mbegu za maboga zona Mchango mkubwa na mama anaenyonyesha...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Karibuni Songea

    Mda so mrefu utapewa Mke mkuu hii ni Mbinu yao kumfanya MGENI ahamie jumla!!
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

    Wakati Fulani niliwahi UK's kia watanzania wanao ishi ughaibuni walikuja na mpango wa kujenga DARAJA LA kukunja ambalo garama ni nafuu kuliko LA kudumu uliishia wapo ile mpango?
Back
Top Bottom