Recent content by Khalifax Sayed

  1. K

    Kinachoendelea Zanzibar ni aibu kwa nchi

    Hata raia wa Central Africa Republic waliambiwa hivyo hivyo kuhusu majeshi yakulinda amani ya Umoja wa Mataifa, ulizia kilichotekea? Mamia ya watoto kubakwa na wengine kulawatiwa huku UN ikijitutumua kuchukua hatua za kisiasa. Ulizia kilichotokea ZNZ 2001, raia waliambiwa hivyo hivyo kuhusu hao...
  2. K

    The synopsis of Dr. Vicent Mashinji, Katibu Mkuu CHADEMA: Strength and Weakness

    Kinacho nisikitisha ni pale nnapomwona mtu ambae kwa kile anachokiandika inaashiria kama ni msomi lakini jinsi alivyokiandika unaona hamna kitu kabisa isipokuwa kujishushia hadhi yeye mwenyewe binafsi na taasisi iliomfunza hicho alichokisoma. Hivi kuna kipi kilichokuzuia kuandika ulichoandika...
  3. K

    Wagombea CUF Zanzibar Watangaza Kushiriki Marudio ya Uchaguzi

    KITAMBO SANA MBONA. WE UNAJIONA MJANJA KUWEPO HUKU JF?. WENZAKO WANAMWAGILIA MAJI MBOGA MBOGA ZANGU APA.
  4. K

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Kwani Anaeongelewa Ni Mbowe Au Magufuli Apa? Sisi Atuna Stories Na Mbowe Au Lowassa, Sisi Ni Magufuli Awe Tu Huru Kutumia Kiswahili (Japo Nacho Akijui Vizuri) Kuliko Kujifanya Kuongea Kiingereza Wakati Ayuko Sawa Kabisa. Aibu Yake Ni Aibu Kwa Taifa Zima.
  5. K

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Na Wewe Je Unashadidia Ukoloni? Embu Check Hio Signature Yako Ipo Kwa Lugha Gani. Msiongee Tu Ilimradi!!
  6. K

    The English of President Magufuli of Tanzania

    Badala Ya Kutukana Nadhani Ungemsahihisha Kama Atakuwa Amekosea. Kwa Nini Mnapenda Kuwekeza Kwenye Matusi Badala Ya Hoja. Mwenzako Amewasilisha Mada, Jenga Hoja Kuunga Mkono Au Kupinga. Nakubaliana Na Wote Wanaosema Kwamba English Haijalishi, Wasi wasi Unakuja Kwa Nini Sasa Aitumie Na Alishajua...
  7. K

    The English of President Magufuli of Tanzania

    English Is Communication: Communication Is Development.
  8. K

    Mamia ya Waafrika wafukuzwa Afrika Kusini

    As Africans, we have very long way to go....how can a trusted leader like that made that kind of xenophobic tendencies?
  9. K

    Scientific babkground to russian robotoids

    Nakukubali sanaaa Dada. Umemalz mada FaizaFozy is one foxy babe.
  10. K

    German Airbus A320 plane with 148 people crashes in French Alps

    This story is wrongly written, the plane was flying from Barcelona to...Düsseldorf
  11. K

    Picha: Jihadharini na huyu tapeli

    Kwa mahitaji yako yote ya vifaa vya simu, electronics na vya nyumbani, piga......071687450? Quick delivery up to your home............c tunaambiwa tujiajr jamani? huo n wimbo kil siku........:shocked:
  12. K

    Tumaini University Dar es Salaam College (TUDARCO)

    Apana bhanaaa, vyuo vyetu vingi Tz vinajulikana kaka, vnaitwa vyuo vikuu lakini wala havina hyo sifa ( a case of St. Joseph, Arusha Campus). Unujuwa TCU nao n wale wale, awawez kukup ukwel kuhus chuo fulani, kun habar ambaz kuwa c rasmi na si nzuri kwa taasis fulani ambaz huwez kuzpat formally...
  13. K

    Watu wawili wanaswa wakiuza viungo vya albino

    Apa kwetu apana wa kuwek sign mtu kunyongwa, hv juz kati nliskia watu waliomagerezani n kuhukumiw adhabu ya kifo, wamepeleka malalamiiko yao kw Mkuu wa Kaya juu ya kucheleweshewa ahabu yao, kuna wengi huu n mwaka wa 30 wanasubria kunyongwa.:embarrassed1:
Back
Top Bottom