mi simjui huyo jamaa but mtoa mada hujaandika kama thinker au mweledi, huna vivid evidence,kote umeandika nasikia nasikia,isije kuwa wote ni wafanyabiashara mnaharibiana, au una beef naye tuu, but pia kusema eti siku hizi watu wavivu kila kitu online,nimeona bado una think inside the box,hujatoka nje ya nji bado,pia ujue jf inasoma na watu wengi mno hasa wa TZ walio nje ya nchi maana ndo site rahisi kujua nchi inaendaje,pia acha ukabila,kwanini u comment kuwa eti wachaga?, inamaana ni wezi walikuibia,.Acha ukabila,wivu, by the way i repeat siwajui wote but i undermine your post maana huna suppirting document za kutosha, acha kumwaribia mwenzako,online shopping outside world ndo habari ya mjini,then every bussiness ina changamoto zake,in your post sijaona mahali unasema umeibiwa
tuache wivu na kurudishana nyuma