lazima tuuu mngeongeaaa hata kama mngewekewa placement letter kaka mfano kuna kada ilikuwa inataka 50 na imechukua 50 kamili walofaulu walobakii na wao wapo data bank kaka
alaf sasa ukute ww ndo ulikuwa na confidence kali ukawa una kimini unacho kiongea ndo maana umefaulu kaka kumbuka kuna watu wengi wameandikiwa pia wapo chinii ya pass mark mzeeeee kwahyo ulifanya vzur so kama kuna uchawiiii
yote tisa kumiiii ina kupa atleast moyoo kidogo kuwa lolote linaaweza likatokea so lets all tuaminiii kuwa tutakutana na hzo placement later wakubwaaaa.
Kaka Nilikuwa nakuona Ona sana kwenye huu Uzii kwenye kuwapa watu hongera kwenye kuwakosoa hivoo yaan wewe ni miongoni mwa watu active sana Mkuu...HONGERA SANA kaka Una deserve kwakweliii ni mda wako sasa
Ipo siku na mimi nitatoa ushuhuda humuu baaada ya kufanya written 18 na oral interview moja yaan 17 zote not selected moja ndo nipo selected na ndo nilifanya oral April naona tuu majina ya watu mim bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.