Recent content by Khalifa96

  1. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    lazima tuuu mngeongeaaa hata kama mngewekewa placement letter kaka mfano kuna kada ilikuwa inataka 50 na imechukua 50 kamili walofaulu walobakii na wao wapo data bank kaka
  2. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    sure kaka
  3. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    alaf sasa ukute ww ndo ulikuwa na confidence kali ukawa una kimini unacho kiongea ndo maana umefaulu kaka kumbuka kuna watu wengi wameandikiwa pia wapo chinii ya pass mark mzeeeee kwahyo ulifanya vzur so kama kuna uchawiiii
  4. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hahahah ili iwe rahisi zaidi ila so far so good mmepewa mlichokuwa mnakililia hapo kuna watuu mlikuwa mnatamaniii mngeona marks kabisa
  5. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    si ndio kuliko ile hujui hatma yakooo ni ipiiiiii hapaa unajua kabisa nimefaulu nasubiri nafasi ikitokea sawa isipotokea sawa cha muhimu nimefaulu
  6. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    ndio kaka ni ngumuuuu yaaan tena wao wenyewe lazima wajishtukiee waandane hzo placement chaap chaap
  7. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    yote tisa kumiiii ina kupa atleast moyoo kidogo kuwa lolote linaaweza likatokea so lets all tuaminiii kuwa tutakutana na hzo placement later wakubwaaaa.
  8. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kaka Nilikuwa nakuona Ona sana kwenye huu Uzii kwenye kuwapa watu hongera kwenye kuwakosoa hivoo yaan wewe ni miongoni mwa watu active sana Mkuu...HONGERA SANA kaka Una deserve kwakweliii ni mda wako sasa
  9. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    ILA NAOT WAMEAJIRIIIIIII WENGIIIIIII HADI RAHA
  10. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    umejuaje imeishaaaa mkuuuu watu tunasubiri placement zetuuuuu hukuuu
  11. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    hakuna kaka nafasi zenyewe ni za Afisa Utawala naona wana donoa donoa tuu tuu yaani
  12. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ipo siku na mimi nitatoa ushuhuda humuu baaada ya kufanya written 18 na oral interview moja yaan 17 zote not selected moja ndo nipo selected na ndo nilifanya oral April naona tuu majina ya watu mim bado
  13. Khalifa96

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    rajabalyfa@gmail.com nayaomba na mimi hayo maswalii boss
Back
Top Bottom