Ndugu wacha uwoga kuna watu wanalima nawana udumia ardhi vizur kabisa bila ya matatizo na wanayaendesha maisha yao vizuri chamsingi fata taratibu tuu usilete janja janja hakuna atakaye kusumbua, kuhusu sela mpaka muheshimiwa kasima kuanzia tani moja ndiyo mtu alipe kodi sasa sifursa hiyo au...
Fact! kwanza Mimi nadhani utayari hatuna na hatuamini km sisi km sisi tunaweza tuka export bizaa zetu, mfano kulima kwa kulenga mazao yaendane na standard ya soko la nje.
Nakama Wa Israel wangekuwa na akili yakupenda kutafuta habari ama vitu vya kuikosoa serikali yao km watanzania basi wasingeweza kuzarisha chakula chakulisha dunia nzima km tunavyo fikiri. Mfano Nivijana wangap leo hii wanashiliki ktk kilimo hata robo heka tuu lakin wapo mstari wambele kulalamika...
Sipendi kutoa lawama kwa jambo hili coz najua miundo mbinu siyo rafiki but naomba nitoe ushauri kidogoo kwenu wakuu. Tupo katika mwezi wa mzua za vuri hvyo tunaomba mjipange vizuri kuweza kukabiliana na hii hali ya hewa maana isijekuwa ikatike asubuh irudi jion
Hivi huwa mnatoa huduma au msaada gani kwa wajasilia Mali haswa sisi vijana.
1. Kwawanao taka kuanza biashara
2. Kwawalio anza biashara
3. Na kwawalio bobea katika biashara(wazoefu)
Kwanza napenda kuanza kwa kutoapongezi kwenu coz mmeboresha kwa asilimia kubwa Sana huduma zenu ktk jamii but na omba mchanganuo ktk 3% ya makato ya REA nikiasi gani kimekusanywa kwa Mwaka 2016/17 na matumizi yake kiujumla ahsante.
Hahahahaha umeongea point Sana kiongozi lakin vile vile na sisi watazamaji tubadilike ifike wakati tukatae habari ambazo hazina faida ktk maendeleo ya taifa leo kwamfano leo hii nivijana wachache wanaotazama taarifa ya habari wengi tunapoteza time zetu kutazama vipind visivyo kuwa na maana kabisa
Mkuu umetoa wazozuri but inaitajika tutambue kuwa TBC nichanel ya taifa so lazima ijitahidi kufata na kutunza misingi ya habari na heshima kiujumla vile vile tusije kutegemea kwamba TBC itakuja kuwa Chanel pendwa km ilivyo kuwa clouds au eatv coz TBC haiwezi kutangaza habari zinazo tupendeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.