Recent content by Khakha

  1. Khakha

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko Polisi: Kamanda aliyetoa amri ya kukamatwa wanaowakoholea wanawake ahamishiwa mkoa mwingine

    Huyo polisi hana maadili. Hajui maana ya kiapo cha kutunza siri na uaminifu!
  2. Khakha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mwanaume anataka kunioa lakini ana maumbile madogo

    Genetics wewe Mungu? Nenda kapandikize mbegu unazotaka zimejaa bwererereee China!
  3. Khakha

    JamiiForums Tanzania NECTA yapunguza maswali ya mtihani wa darasa la saba kutoka 50 hadi 45, na 40 kati ya hayo ni ya kuchagua

    Hicho ni kiwanda cha washabiki wa ccm tosha kabisa!
  4. Khakha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Acha fix ndo mchezo wako huo wadanganye wanachuo wenzio. Pambav!
  5. Khakha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NASA Kumwapisha Odinga Kama rais wa Kenya

    Kwanza aapishwe kwa uchaguzi upi alioshiriki? Si alikimbia uchaguzi wa marudio huyu? Aende zake kisumu akanywe gongo!
  6. Khakha

    JamiiForums Tanzania House4Sale Ghorofa linauzwa-Mbezi beach (Jogoo)

    Mkuu hapo 900 itapendeza sio 600!
  7. Khakha

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Rais Robert Mugabe ajiuzulu Urais kabla ya Bunge kumuwajibisha

    Wakuu, katika pita pita zangu za kusoma majarida mbalimbali plus ku Google, nimekuta kwenye news ya BBC kuwa Gen Chiwenga alipata military training Msumbiji na Tanzania. Nadhani atakuwa alisoma na Gen Mabeyo huwezi kujua! Kweli jeshi letu ni la ukombozi kusini mwa Africa!
  8. Khakha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushindi wa Uhuru Kenyatta watambuliwa na Mahakama. Kenyatta kuapishwa tarehe 28 Novemba

    Hongera Uhuru ila nafurahi zaidi Kenya wameset precedent kuwa uchaguzi unaweza ukapingwa mahakamani Africa.
  9. Khakha

    JamiiForums Tanzania Utetezi wa Nyalandu atautoa Kisutu TAKUKURU wakimaliza kazi ila Kwa Sasa Asubiri Kwenda Segerea

    Mkuu uteuzi wa ma DC keshokutwa umesahau?
  10. Khakha

    JamiiForums Tanzania Toa tathmini kuhusu katuni hii ya GADO kuhusu hatma ya EAC.!

    Mkuu huyo sio Salva kitu(Kiir), ni Mzee wa Whiskey jirani yetu hapo juu!
  11. Khakha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufuatia Magumashi ya Billionaire Maprosoo wa nyumba za Lugumi sasa wadada mna haki ya kuwathaminisha wanaowatongoza

    Ahahahahqaaaaaa shikamoo Jaji!
Back
Top Bottom