Halafu yeye anaendekeza uhuniAlafu utashanga eti bado kuna Wakenya wanadhani anafanya hayo kwa manufaa ya Wakenya, wakati ni anawavurugia nchi tu kwa mslahi yake.
Huyu atakuja kujiletea matatizo. Yaan rais wako anaapishwa na wewe unaapishwa na watu wako. Naona mwisho wake kisiasa umekaribia. Yetu macho.
Hii ni fujo sasa huyu jamaa kweli ana shida kubwa kwenye kichwa chake katiba ya kenya inaruhusu mambo kama hayo??Kenyata ni mvumilivu yeye aliacha muda upite kama kuna wanapinga matokeo mahakamani wasikilizwe,kweli wamesikilizwa na pingamizi zao kutupwa sasa hapo Raila ataapishwa kwa misingi ipi??kweli ndege wanaofanana huruka pamoja.
What is this?Uhuru Na Kenyata wakae Chini maana hakuna namna nyingine atakayofanya Uhuru hawezi mshitaki wala kumtiani hatiana sababu anasaportas wengi sana