Habari wanajamvi,
Mimi ni mkazi wa Morogoro, natafuta nyumba ya vyumba vinne maeneo ya Kihonda au Azimio au Kilimanjaro kwa ajili ya kupanga.
Mwenye nayo ani PM
Halafu MTU anakusimamia wewe uliyekaa kwenye siti ,mwingine ana jasho kaliii yaan Chalinze mpaka Moro unaona hufiki. Kama umemlipia mtoto siti MTU anaanza kukulazimisha ampakate mtoto wako.
Uongozi wa Abood ongeeni na madereva wenu hata mimi ni mteja Mkubwa sana wa Abood.
Jifunze Biblia Kwa njia ya maswali ,ni kitabu kipy kabisa kinachokiwezesha kulijua neno LA Mungu kwa kujibu maswali.Kipo kitabi cha watoto wadogo pamoja na watoto Wa sekondari bacho pia kinaweza kutumiwa na watu wazima pia.panda Mbegu ya neno LA Mungu ndani ya Moyo Wa mtoto wako,vitabu...
Habari za kazi wadau, tunauza begi ndogo kwa ajili ya wanaume za kuwekea cm, diary, charger nk, bei in sh 15000 zipo za vijana,za wakina baba nk pia tunafundisha kwa anaetaka kujifunza ,kwa Leo tunaanza na hiz kwa vijana tuwasiliane 0653440055 au 0653557878
Habari za kazi wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatafuta Fundi nguo mzuri awe anapenda kujifunza vitu vipya,awe mbunifu, anajua kujiongeza, kazi zake smart kabisa tuwasiliane nimpe kazi, naweza kumuajiri au awe anakuja tunafanya kazi ,na kazi ikiisha anaendelea na shughuli...
Hats ukijitenga na watu waliokukwaza watatokea wengine watakukwaza, amei kuu in upendo,upendo huvumilia,husamehe,hauhesabu mabaya no,mwombe Mungu akupe moyo WA kusamehe,msamaha una faida sana kwa afya ya mwili na roho
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza niko Morogoro liti,nina kuku 300 wa nyama wazuri na wazito natafuta mteja wa jumla bei 6000 tuwasiliane kwa namba 0713689829
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.