Watoto watano kila mtoto na baba yake

Watoto watano kila mtoto na baba yake

duuh pole sana dada haya mAneno inabidi utuombe radhi"WANAUME WOTE BABA NA MAMA NI MMOJA " hapana si kweli man six kamsoon imeandikwa tuliumbwa ili tujaze ulimwengu
Kwa hiyo baada ya kuujaza ulimwengu mliandikiwa pia mtelekeze watt au kukataa mimba?don't twist the words of God ili kujifurahisha
 
Kuna mtt WA wifi yangu ana miaka 21 ana watt 4 kila mtt na babake ,alizaa mtt WA kwanza akiwa na miaka 14 ,mshauri afunge kizazi huyo dada
 
Kuna mtt WA wifi yangu ana miaka 21 ana watt 4 kila mtt na babake ,alizaa mtt WA kwanza akiwa na miaka 14 ,mshauri afunge kizazi huyo dada
Sasa huyu akifika miaka 40 atakuwa na watoto wangapi.Aiseeeee hii ni kali.
 
Back
Top Bottom