Recent content by keypass

  1. K

    Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Naona inafana Kwa vingi na RVR ila kwenye consumption ya mafuta naona RVR iko poa Zaidi, nashukuru sana Kwa hizi nondo,naona hadi sasa baada ya kusoma Kwa utulivu hizi nondo RVR imeibuka kidedea kichwani mwangu.
  2. K

    Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Gari nzuri sana kuanzia consumption ya mafuta etc
  3. K

    Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Mkuu wangu nashukuru sana Kwa maelezo mazuri na yaliyoshiba,Asante sana
  4. K

    Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Mkuu wangu nashukuru sana Kwa maelezo deep na mazuri...hizi nondo zimeshiba hadi hapa hii kitu ishapita.
  5. K

    Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Habarini wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,hizo aina mbili tajwa hapo juu, ni gari ambazo huwa naziona barabarani na nimetokea kuzipenda Kwa muonekano wa nje. Kwasasa natumia Toyota Premio ambayo kiukweli naifurahia kuanzia consumption ya mafuta hadi issue ya vifaa vyake viko cheap...
  6. K

    Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Mbeya bonge moja la jiji, Mbeya imejengeka zaid pembezoni kwenye suala la makazi ya watu kuliko maeneo ya barabara kuu... Tizama new forest, Isyesye, Veta, Ituha, Iwambi Makazi Mapya.. Kuna makazi ya maana huko..pia huduma za kijamii Mbeya kuko vizuri, vingine ni changamoto ambazo ziko sehemu...
  7. K

    Viongozi wa Simba SC mliokubali kwenda Ikulu Kuwasindikiza Yanga SC ni Wasaliti na achieni ngazi upesi sana

    Upinzani sio uadui, sidhani kama Kuna tatizo kwenye Hilo. Otherwise Kati yangu mimi na Wewe Kuna mmoja anatatizo kubwa la afya ya akili.
  8. K

    Nahisi ndoa yangu inaelekea ukingoni kutokana na tatizo la nguvu za kiume

    Mkuu ni muda mrefu ila naomba niseme hili zoezi lilinisaidia plus tangawizi kutafuna tafuna ka kegel exercise pia zilinisaidia,be blessed.Asali na maziwa vilihusika pia.
  9. K

    Nahisi ndoa yangu inaelekea ukingoni kutokana na tatizo la nguvu za kiume

    Wewe ni mkurupukaji wa kimataifa...unaropoka...kuna mdau alishauri jambo la kawaida sana na limenisaidia..kama una waganga wako wa kienyeji wenye account mbili sio mimi.
  10. K

    Tatizo la Nape ni ubinafsi, chuki na sononeko. Kiongozi wa namna hii hatufai hata kidogo

    Whatever the case,hoja ya Nape haina shida unless otherwise kama kutakuwa na tatizo wakichunguza.Tujadili hoja yake tusimjadili yeye.
  11. K

    Vituo vya mafuta vya Puma na wizi wa mafuta

    Nashukuru kwa elimu,ni katika muendelezo wa kuendelea kujifunza.
  12. K

    Kuwa na laini ya TTCL iwe ni lazima kwa watanzania wote TTCL iimarishwe zaidi

    Hakuna haja ya kulazimisha kila mtanzania kutumia laini ya TTCL,ni suala la wao tu kuja na strategy nzuri za ku acquire new customers wa kutosha while wakiendelea ku retain existing customers,so ni issue ya wao kuwa serious tu..
  13. K

    Nimenusa harufu ya unrest kufata haya yanayojili

    Sijui akili yako ikoje,kwani dhima kuu ya mkutano ilikuwa ni nini?kwahiyo umuhimu wa katiba mpya hata hauuoni?
  14. K

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Nimesoma Njos nilikuwa Dom 7,mademu nilikuwa naenda kutafuta mpechi au agafilo... Disco nilikuwa naenda Alabama sijui kama kupo hadi Leo...
  15. K

    Airtel kwa wizi huu nawahama

    Shida Mitandao yetu hii, hapa unavyolalamika kuhusu Airtel kuna mwingine huko anatamani apasuke anawalalamikia Halotel na Voda. Komaa nao hao hao tu. Unaweza zunguka Mitandao Yote afu ukakutana na Upuuzi unaofanana.
Back
Top Bottom