piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa *monitoring device* kwenye namba yako.
Watumie na wengine...
*PREMIER LEAGUE SIO YA MAJARIBIO.*
Ni muda mfupi toka kocha Mkongwe wa Arsenal Arsene Wenger aliye dumu na klabu hiyo kwa miaka 22 kuondoka Emirates. Huku vuguvugu la kutafuta mrithi wa mikoba yake likionekana kuwa kubwa sana kutokana na klabu hiyo kukaa kipindi kirefu sana bila kubadilisha...
Miaka 14 sasa tangu Arsenal walipochukua ubingwa wa EPL huku wakijiwekea rekodi ya kipekee kabisa ya kuchukua ubingwa bila ya kupoteza mchezo hata mmoja (15-5-2004).
Michezo 38
kufunga 26
Draw michezo 12
kufungwa 0
Unapoitazama hii picha unakumbuka nini ukiachana na kuchukua ubingwa bila ya...
Allegri anataka kubaki Juve.
Massimiliano Allegri amejiweka mbali na tetesi za kuhamia Arsenal akisema kwamba ana matumaini ya kubaki Juventus msimu ujao.
Akiongea baada ya Juventus kutwaa taji la nne mfululizo katika uongozi wake kwa kupata sare ya 0-0 dhidi ya AS Roma , Allegri aliwaambia...
Mpya kuhusu mrithi wa Wenger.
Wagombea wawili wanaoongoza sasa hivi kuwania kazi ya kufundisha Arsenal ni Mikel Arteta na Julian Nagelsmann, kwa mujibu wa taarifa kutoka Sky Sports, hiyo baada ya Massimiliano Allegri kusema kwamba atabaki Juventus msimu ujao labda kama watamfukuza.
Na mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.