On now. Kama wewe una mku.................... Ba l Sa. .m
A
Aiseeeee jalibu kukwepa hiyo laana. Ni[emoji41][emoji41] laaaaaana tosha[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Daaaa nawatazama TU viongozi wa Tanzania walivyo na uchu na madalaka
CCM embu kuweni wazalendo na taifa msifanye vitu kwa maslah binafsi
Saivi kila mtanzania anaelwa huwezi danganya hata mtoto wa miaka mitano
Teuweni mtu mwingine tofauti na Samia Ili msibolonge25
Hawana lengo BAYA ila wanacho sisitiza ni kwamba tuwe macho Na uchaguzi ujao. Hisia zetu tusizipeleke kwenye chama ila tuangalie nani anafaa kuwa Raisi. In short lengo ni tuchague jembe kama magi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.