Recent content by kevin ken

  1. kevin ken

    Uchumi umekua, wananchi wana/wataendelea kuwa maskini," Aina gani hii ya uchumi isiyo na tija kwa mwananchi?

    On now. Kama wewe una mku.................... Ba l Sa. .m A Aiseeeee jalibu kukwepa hiyo laana. Ni[emoji41][emoji41] laaaaaana tosha[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
  2. kevin ken

    Uteuzi na Uhamisho: Rais Samia amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali

    Hakuna la maana. Tanzania Bora uzima ko tuishi TU[emoji41]
  3. kevin ken

    Rais Samia anasifiwa kupita kiasi

    [emoji27][emoji27]Kama wanalipwa ACHA wampe sifa[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
  4. kevin ken

    Zijue sifa za hawa majamaa wanaojiita wazee wa mikeka

    Ndomana kakwambia kama huna ela usibeti
  5. kevin ken

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Daaaaaa ko wanadhani watatulisha matapishi Yao. Wabongo si wapumbavu hivyo
  6. kevin ken

    PreGE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

    Ameshachelewa. 2025 kula ziibwe lasivyo uraisi atausikia Nakupenda TANZANIA
  7. kevin ken

    Unajifunza nini ukiitizama picha hii?

    Sijaelewa unazungumzia Nini na Samia Kaingiaje hapo[emoji41][emoji41][emoji41]
  8. kevin ken

    PreGE2025 Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

    Daaaa nawatazama TU viongozi wa Tanzania walivyo na uchu na madalaka CCM embu kuweni wazalendo na taifa msifanye vitu kwa maslah binafsi Saivi kila mtanzania anaelwa huwezi danganya hata mtoto wa miaka mitano Teuweni mtu mwingine tofauti na Samia Ili msibolonge25
  9. kevin ken

    PreGE2025 CCM mnataka hayati Magufuli agombee 2025?

    Wanainchi washachoka na utawala uliopo. Wao wanapeleka ujumbe kwamb kilichopo saivi hawakitambui Yani ni bola mwenda zake kuliko huyu wa sasa.
  10. kevin ken

    PreGE2025 CCM mnataka hayati Magufuli agombee 2025?

    Huwezi sifia mtu ambaye Hana mapenzi na taifa. NB: Wa Sasa SI mzalendo
  11. kevin ken

    PreGE2025 CCM mnataka hayati Magufuli agombee 2025?

    Hawana lengo BAYA ila wanacho sisitiza ni kwamba tuwe macho Na uchaguzi ujao. Hisia zetu tusizipeleke kwenye chama ila tuangalie nani anafaa kuwa Raisi. In short lengo ni tuchague jembe kama magi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Back
Top Bottom