MTU anaelipa ada 65 million per year hawezi kuajiliwa akapewa laki 4.......kuna watu wanalipwa milion 16 per month ....kwnza mshahara ni makubaliano unaweza kukataa [emoji120] sema shida zetu wabongo unalipwa laki 4 afu bado unawaza kuoa
Ndugu zangu msibishane nae sehemu inapitisha mtoto wa kilo tano.....sasa unazani we utaweza Ku cover upana uwoo ....sana sana unakuta mabwawa ya mtera na kidalu
Nilishawai kwenda kumuulizia Dogo ....maana alikuwa anasoma urusii sasa akarudi bongo kabla hajamaliza ..tukaenda kuangalia mtaara wao .....daah ebwana watoto wanapelekwa na range au v8 ...schools bus zao sasa daaah ....ila wapo watoto wa kibongo nao wanasomaa
Mie aaah mbona najitaidi sana kuwaonyesha ila napimaa kwanza nikiona bado machepele ...vizinga ad pedii ....[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.