Wanyakanyonyo nadhani nyinyi ni ccm damu damu kama humwamini Mutungirehi, Mutungirehi ni jembe najua nyinyi mnao muona kuwa ni msalti mumeongwa na Katagira, Runyogote na Daniel maana Mutungirehi ni tishio kwao na Taifa ili linajua kumu lile jembe. akisimama ukawa jimbo anabeba kwa wepesi sana...
Kama kweli hata mkuu wa wilaya ya Kyerwa hawezi kushughulikia swala hili kwanini hasimwambie aliye mteua kutengua uteuzi wake maana sioni alifanyalo labda nimuombe Kanali Benedict Kitega kama Mkuu wa wilaya ya Kyerwa atupishe maana kakubali akili yake kuwekwa mfukono mwa Kashunju Runyogote...
Ndugu watanzania kunajambo linanitatiza/linaumeza moyo wangu pia na watanzania wazalendo na wapenda amani kwa ujumla katika nchi yao. Nijambo la kusikitisha sana pia linanipa maswali magumu/mepesi ambayo yanalarua moyo wangu. Najiuliza maswali kama ifuatavyo:-
Je hii...
wanajanvi tujiuleze ccm nani wa kumfunga paka kikengele?
Ndugu watanzania najuu yakuwa kila kona upitapo swala ni escrow pia kila mtanzania na mataifa mengine macho yao yameelekezwa Tanzania ili kusikia litakalojitokeza, au atua gani zitachukuliwa kati ya watuhumiwa wa escrow.
Watanzania...
Madai ya serikali tatu naona umekuwa mwiba kwa wana CCM, ninashangaa wanapotoa hoja dhaifu ya kuhusu kuongezeka kwa gharama za uendeshaji na uvunjifu wa muungano.
Tanganyika itaendeshwa na gharama zake zisizo za muungano kama ilivyo kwa Zanzibar. Kwani tatizo liko wapi? Mbona hamhoji gharama...
Watanzania bado wana matatizo hata kama kunakitu unaona kinawezekana unapinga. sasa wewe katika nafsi yako umeandika haya kwa kumkomoa Dr. Slaa au ni upeo na uelewa wako unapo ishia?
kwanza hangalia wageni wanaokuja hapa Tanzania bila hela wanarudi kwao wakiwa matajiri bado wewe hupo tu...
MWENGE NA CCM
Ndugu watanzania nitaongelea mwenge kidogo na serikali ya CCM.
MWENGE
Ndugu wananchi katika kuliongelea hili nitaonekana waajabu sana kwa watu ambao bado wanaendeleza dhana yao ya kuutukuza na kueshimu mwenge.
Katika mtizamo wangu jinsi nilivyo kuwa nikiuelewa mwenge...
MWENGE NA CCM
Ndugu watanzania nitaongelea mwenge kidogo na serikali ya CCM.
MWENGE
Ndugu wananchi katika kuliongelea hili nitaonekana waajabu sana kwa watu ambao bado wanaendeleza dhana yao ya kuutukuza na kueshimu mwenge.
Katika mtizamo wangu jinsi nilivyo kuwa nikiuelewa mwenge enzi...
Natanguliza samaani kwa positi ya kwanza ilivyo onekana
Ndugu zangu watanzania wenzangu, ninaleta kwenu baadhi ya uovu wa serikali ya CCM na uteuzi wa viongozi unao likumba taifa letu kwa kulindana katika ngazi za juu. Kabla ya kuanza na viongozi ninaanza na mtizamo wa serikali ya CCM ilivyo...
Ndugu zangu watanzania wenzangu, ninaleta kwenu baadhi ya uovu wa serikali ya CCM na uteuzi wa viongozi unao likumba taifa letu kwa kulindana katika ngazi za juu. Kabla ya kuanza na viongozi ninaanza na mtizamo wa serikali ya CCM ilivyo. Kuna mambo ambayo yamejitokeza na yanaendelea katika...
Scramble siwezi amini kwa uelewa wako kama bado uko ccm maana kila kitu unajionea mwenyewe kuhusu uozo na utawala wao kwa ujumla. maana mwenye macho haambiwi tazama. wewe uko sehemu gani ndugu yangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.