Taadhari kwa wananchi kuhusu CCM

Taadhari kwa wananchi kuhusu CCM

Kama huu ni mtandao wa kipropaganda pia tujulishwe ili na sisi tuanze kuandika uongo ili msitupotezee muda wetu!
 
Scramble siwezi amini kwa uelewa wako kama bado uko ccm maana kila kitu unajionea mwenyewe kuhusu uozo na utawala wao kwa ujumla. maana mwenye macho haambiwi tazama. wewe uko sehemu gani ndugu yangu?
 
Mleta uzi tumekuelewa, Pitia Posho yako kwa Makene hapo Kinondoni Manyanya umefanya kazi nzuri, aisee umewaponda.
 
Mwigulu natoa wito njoo huku haraka sana tuwajibu hawa cdm
 
Shabash umemaliza kila kitu waoza hawa CCM. Kikwete ni mmoja kati ya Wanafiki wakubwa lakini wakati utamsuta.

ccm si tatizo, tatizo ni watu wenye upungufu wa akili kama mwigulu n.k. Wanashindwa kuelewa watanzania wanataka nini? ccm wanahonga hela na kuua ili washinde cdm wanachangiwa hela na wapiga kura na wapiga kura wanalinda kura.
 
scramble; Tatizo serikali ya CCM imevaa miwani ya mbao (Deo Filikunjombe, 2013)
 
Last edited by a moderator:
Khaa!! wewe!!Time is money. Unaweza kufupisha kidogo nini hasa ulitaka kusema??:bored:
 
"Kongamano la jana lilikuwa la kutafuta amani Mhe. Waziri Mkuu Mizengo Kayanza pinda amechukuliwa hatua
gani au kauli gani za karipio zilizotolewa kwa walio hudhuria kongamano la amani.Waziri mkuu ndiye Mchochezi na msababishaji wa uvunjifu wa amani katika taifa letu?kama haya simatumizi mabaya(kifisadi) ya fedha za walalahoi watanzania, wenye shida lukuki kama elimu, afya na umasikini,huu ni unafiki wa kuwadanganya watanzania kujifanya kuanda kongamano kwa jina la amani kwamba tuamini tunaviongozi wanauchungu na amani yetu. Je, kauli yake ya kutoa watu makucha, kung'oa meno na piga tu ataifuta je katika jamii yetu ya Tanzania ambao tumezoea amani na utulivu wa watanzania. kama kwenye makongamano ya amani mnaedelea kuwa kimya.acheni unafiki wakujikomba na kujibembeleza, kwamba mlikuwa mnategemea chadema ndio watamke hilo kwamba serikali ya chama cha mapinduzi, waziri wake mkuu ndiye mchochezi na msababishaji wa uvunjifu wa amani katika taifa, Chadema wameisha sema Th's stupidity.
 
15:45 - Maneno meeeengiiiii ila pointless. Sasa wapelekee ujumbe wenzako kuwa , CCM ni chama chetu watanzania wote, tunakipenda na tutakienzi hakuna chama zaidi ya CCM.
16:19 - CCM ndio chama cha watanzania wote na ww ukiwemo kuanzia babu yako, wazazi wako, watoto wako, na familia yako nzima.
16:20 - Ww mwenyewe waipenda na uliisha sema CCM kwako ni kama maji, utayaoga, utayanywa nk
16:21 - CCM ni chama la watanzania wote na ww ukiwemo
16:23 - Ukiiona mtu hana hoja km ww ina maana umeikubali CCM. Kwani ukiona mtu analia ujue imeingia hiyo.
Kaazi kweli kweli...!
 
kupitia ccm yangu nitakumbukwa sana na kuitwa bwana maendeleo hasa na Riz kwani nimemfanya kuwa nusu billionea,
 
Back
Top Bottom