Recent content by ketone

  1. ketone

    JamiiForums Tanzania Nimetembea Kwa miguu sana Hadi nawaza kuwa na gari .Naomba ushauri

    Wakuu Salama..Mimi nimejikuta naenda umbali mrefu sana mara Kwa mara Hasa mijini na kazini Hadi wakati mwingine nawaza nami hata kuwa na ka Vitz ka cc 990 au ka IST au susuki swift..Kuna saa natembea Hadi naona miguu inaingia tumboni na mafurushi Yangu mkononi. Pia kwenda ibadani nikiwa na...
  2. ketone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukibahatika kuoa mwanamke anayekujali, mshukuru sana Mungu

    Maisha ya kileo wapo wengi wanajuta Kwa sababu ya maamuzi waliofanya wakati wa kuoa ila Sasa hakuna namna ya kufanya kwani walishazaa watoto inawabidi waishi maisha yaende basi. Wanawake wengi wa siku hizi waeza toka kuitafuta riziki tokea asubui na kurudi jioni na furushi lako mkono ila kamwe...
  3. ketone

    JamiiForums Tanzania Alichosema Trump kuhusu Marekani, Je kuna ukweli?

    Hii ndio habari Donald trump aliyokuwa anasema Leo kwenye Aljazeera ...je Kuna ukweli wowote kuwa china..Korea ya kaskazini na urusi hawaiogopi tena marekani na kwamba mareka IPO katika hatari dhidi ya hao
  4. ketone

    JamiiForums Tanzania Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Vip kama nimehama kutoka nyumba nyingine kwenda nyingine lakini nyumba ya kwanza ilikuwa na Mita yangu na nimeiuza hio nyumba nikanunua nyumba ingine yenye Mita ingine..je ninaeza kuchukua Mita yangu ya mwanzo nikahamia nayo nyumba ya Sasa Kwa maana inajina langu..?
  5. ketone

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Niliweka sitting room ndogo Hadi Leo inaniuma
  6. ketone

    JamiiForums Tanzania Tajiri afariki kwa kujinyonga maeneo ya Ngaramtoni Jijini Arusha

    Ni kijana wa umri wa kati tu sema Hela zilimtembelea tu faster..nikama umri wa 40+ hivi
  7. ketone

    JamiiForums Tanzania Tajiri afariki kwa kujinyonga maeneo ya Ngaramtoni Jijini Arusha

    Tajiri mmoja huku Ngaramtoni, Arusha anaejulikana kama Gidioni amejinyonga nyumbani kwake majira ya saa kumi na moja alfajiri. Tajiri huyo mwenye maduka ya hardware na nyumba kalikali za kupangisha huku Ngaramtoni ameamua kukatiza uhai wake bila mtu yeyote kujua tatizo lililomsibu. Kwakweli...
  8. ketone

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari ya Old Moshi. Tukutane Wahandisi tuliosoma hapo

    Kumbe kinunda wa zamani hivo...katupigia mathematics 2008-2010 pcm
  9. ketone

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari ya Old Moshi. Tukutane Wahandisi tuliosoma hapo

    Hata Mimi nimelala shengena one karibu na laboratory ya biology kutokea getin
  10. ketone

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo jinsi ya kufunga splitter kwenye kingamuzi Cha azamu

    Sijaelewa umesemaje..inamaana huo waya wa out put Toka kwenye kingamuzi ndio naupeleka kwenye splitter alafu kutoka kwenye splitter ndio nipeleke kwenye tv au
  11. ketone

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo jinsi ya kufunga splitter kwenye kingamuzi Cha azamu

    Jamani ninaomba kujua jinsi ya kufunga splitter Ili nitumie TV zaidi ya moja Kwa kutumia kingamuzi Cha azamu..swali langu nikuwa splitter naunganisha kwenye output way wa kingamuzi au wapi
  12. ketone

    JamiiForums Tanzania TANZIA Profesa Justinian Anatory afariki dunia

    Umesoma informatics ndugu...hongera Sana ..yani Sitokaa nisahau mateso ya informatics...somo la programing... Mohamed dewa...duh
  13. ketone

    JamiiForums Tanzania Arusha: OC CID atinga kizimbani kutoa ushahidi kesi ya Ole Sabaya

    Duh..hatari sana
Back
Top Bottom