LEMA umejidharrisha sana. umeona? ulfikir sifa. eti kwanin akubali kwenda kutibiwa india. sasa kama madaktar wameshndwa na kumpa referal bado akatae? Naona ungefurah sana angekufa. Nimefuatlia sana hoja zako ni pumba tu. Umefirisika sana kisiasa dogo. Mpenda posho.
Nimeanza kuwaelewa CCM. Da! ila lema hamna kitu. Hv uliptaje kuwa mbunge? kumbe watu wa Arusha Walichagua Chadema ila cio mtu. Hv mwanachama mkubwa kama wwe umeanzaje kuropoka mambo haya humu? Mm cmkubar ZZK mda mref. anaunafk fuan hv. lakn kwenye swala la posho wwe Lema na wenzako ndo wanafk na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.