Recent content by kessy katalah

  1. K

    Ufisadi mpya kutikisa Bunge

    Ah jaman hii nchi yaan nataman nihame kabisaa" wanipe changu kiasi chochote kile nifanye bauli nikaishi na wanadam huko nch za wenzetu" looh this country it is rotern bw loooh
  2. K

    Juma Nature kumng'oa Mtemvu Temeke

    Umaarufu sasa bongo imekuwa shidaaah" basi hata matonya omba omba nae angekuwa hai angetangaza nia ya kugombea ubunge c nae alikuwa maarufu
  3. K

    Juma Nature kumng'oa Mtemvu Temeke

    Mmh bang feg mchanganyie kuber kisha mmix mix kwa maneno ya kihun" ataongea nni huyu nature bungen" au siku hizi na bungen kuna show za bongo fleva hukoo" bungen jaman kugum sana tena sana huy nature na afande sele waendelee tu na mibang yao
  4. K

    Neno "kama nini" lina maana gani?

    Maana yake ni "mithir ya"
  5. K

    Zitto kuhamia CUF na kugombea ubunge huko Mtwara

    Aaaah nyie mbna kila sku zitto tu kwan hakuna vingoz wengine wenye madhambii mbna wapo kibao yaan kila cku zitto zitto tuambien basi na nyepesiiiiii hiyo tuijueee eboooooo
  6. K

    Freeman Mbowe apendekezwa mwanasiasa bora wa Upinzani

    Unazingua babu" hata huelewek" post ya ni pamba sana na wala c o jiwwee
  7. K

    Madhara ya kuishi na mwanamke bila kupenda kwa kuwa umezaa naye

    Jamaaalietoa hii post hajakosea na mnaopinga hayajawakuta" issue iko hivi pind mnapotongozana wote huwa mnaficha makucha na kila mmoha kuonesha kama anampenda sana mwenzake lakin mtu wa kwanza kumuudh mwenzaje pind ujauzito anaposhika mwanamke ni mwanamke kwa kuwa na jeur moja ya kuona sasa...
  8. K

    Mengi kusomewa albadiri Dar es Salaam

    Sonen vizur habar" shekhe halog wala hana uchawi ila kusudio lake ni kushitaki kwa mwenyez mungu atoe hukum kama kwel shekh anahak ni lazima iwatafune wote waliogusika lakin kama ha na hak basi ni lazima imrudie mwenyewe shekh albadir x dua ya kitoto " chezea dua zote lakin si albadir kama...
  9. K

    ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake

    Mmh hizo ni mbio za Darajan ambazo mbele yake limekatika sa cjui watavukaje?
Back
Top Bottom