Leo katika pitapita Mjini Arusha nimekutana na Gari ya manispaa ya Arusha pamoja na mgambo na Maafisa fulani sijawafahamu ni wanahusika na nn wakikusanya mabango ya Airtel yale yaliyoandikwa Airtel Money kwenye maeneo ya Baiashara za watu
KULIKONI KUNA NINI??????
Majina ya washindi wa tuzo za ktma 2015
1. Kikundi bora cha mwaka - bongo fleva - yamoto band
2. Kikundi bora cha mwaka taarab - jahazi modern taarab
3. Bendi bora ya mwaka - fm academia
4. Msanii bora chipukizi - baraka da prince
5. Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya kitanzania (waite)...
Ni mida sasa natafiti hiki swala la wanawake wembamba na wadogo wadogo ni wasumbufu na pasua kichwa kwenye mahusiano ya kimapenzi.Wanakuwa waongo waongo swaga nyingi yaan hata nashidwa kuelewa....hebu nisaidieni hili swala
Kama mnaweza post magrup zingine
Kuna mtu kaokota vyeti vya shule na chuo vya Ndg. BARAKA D. NINARWO kwa yeyote anayemfahamu amwambie apigie simu no. 0767 66 24 86 ili apewe vyeti vyake
Tumaini na ikizu sec. Na butimba ttc.
nimetuma kama nilivyotumiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.