Huyu Dada sio mwanasaikolojia, anacho fanya nikushawishi watu waone kama ndoa ni mzigo na hivo ukikwazwa kidg tu uondoke,la hasha haiko hivo, yeye katoka kwenye ndoa kwa sababu zake binafis so anatka wote watoke kam yy NO,kama umefunga ndoa ya KIKistru hyo yako mpakam mauti! kwanza beki 3 wapi...
Kwenu Dawasa, kwanza nawashukuru eneo nilipo napata maji bila shida,ila kuna tatizo moja inabidi mlifanyie kazi nadhani hii ni Customer care unit, kwa kweli ni makwazo sana na fedheha mtaani, mimi ni mteja wenu nalipa bill kila mwezi na sijawahi kulaza au kuacha kulipa, napata bill kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.