Recent content by keshaulo

  1. K

    Msaada kuhusu NSSF

    ushapigwa kaka ,hio imeisha
  2. K

    Maeneo ya Dar es Salaam kukosa umeme Oktoba 24 & 25, 2022, TANESCO yasema kuna maboresho ya mitambo

    halafu wanajua kuwa wakikata huku city center zitapigwa kelele ndo maana tunakatiwa sie mburula.
  3. K

    GE2020 Upinzani wakisusia Ubunge/Udiwani, nini kitatokea? Hasara au faida?

    ushaambiwa hakuna connections,km hakuna connections no maendeleo, ikiwepo conection maendeleo yatakuja hizo ndo faida na hasara zakenadhani umeelewa.
  4. K

    Naomba tumsaidie Joyce Kiria wa wanawake live. Anabomoa msingi wa taifa Bora

    Huyu Dada sio mwanasaikolojia, anacho fanya nikushawishi watu waone kama ndoa ni mzigo na hivo ukikwazwa kidg tu uondoke,la hasha haiko hivo, yeye katoka kwenye ndoa kwa sababu zake binafis so anatka wote watoke kam yy NO,kama umefunga ndoa ya KIKistru hyo yako mpakam mauti! kwanza beki 3 wapi...
  5. K

    Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

    KAMA URAYA VILEEE
  6. K

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Kwenu Dawasa, kwanza nawashukuru eneo nilipo napata maji bila shida,ila kuna tatizo moja inabidi mlifanyie kazi nadhani hii ni Customer care unit, kwa kweli ni makwazo sana na fedheha mtaani, mimi ni mteja wenu nalipa bill kila mwezi na sijawahi kulaza au kuacha kulipa, napata bill kwa wakati...
  7. K

    Watalaamu wa magari

    Naomba kujua RPM (rotation) inapaswa kuwa ktk 0 au 1 wakati gari imesimama? Na je, km ni 1 hapo si kuna tatizo?
  8. K

    Kwenu mafundi nyumba

    Hivi naweza badilisha chuping ambayo ipo kwa nyumba? yaani naifuta kwa skimming? ili nipige rangi kawaida.
  9. K

    Mdahalo mkubwa Kimataifa wa Tundu Lissu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo

    INAONYESHWA NA CHANNEL GANI? WASIJE KATA UMEME TU.
  10. K

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    dah jamaa hakutegemea majibu alioyapata.
  11. K

    MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

    Hakikisha anaekuuzia anakupa ID yake yyote ile, na mkataba ndio unaeza fanya transfer.
Back
Top Bottom