mimi naona kama tuwanyanyapae tu ili tuone kama watapendwa bank au kama uzuri sura wa tambue hata mbuz kapewa tu kama wanafnya biashara wapange mtaa usiku maduka tuone nani atakanye nunua
Dunia ya leo hakuan kupenda maada kila demu ana penda pesa je masikini apendwe na nani kama mapenz pesa je tuweke matabaka richman pekee yao na poorman peke yako tell me now my friends
naomba ushauli nilikuwa mpz wangu ambaye nilimpenda kupita maelezo siku wahi kuwa na migogoro naye hata siku moja niliampka hasubuhi nika kuta sms ikiwa ina sema hivi mimi nalazimisha kukupenda ila hisia zangu haziko kwako je nifanye naomba ushauli w
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.