Laiti kama ktkb
Laiti kama ktk mwenendo wa mashtaka pamoja na hat ya hukumu wameandka kuhusu ile taarifa ya daktar wa milembe aloitoa kuwa mhusika wkt anatekeleza mauaji hayo vipimo vinaonyesha alikuwa na matatzo ya afya ya akl bac mapema sana pale court of appeal baada ya miaka 2 tu mnamkuta...
Kwenu wakuu habari zenu
Mimi kijana wa miaka 25
Elimu form six
Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo
Uaminifu ni mkubwa hata ukitaka kupelekwa inapokaa familia yang yaan wazaz na wakanizamin nipo tayar
Mawasiliano 0685176087
Nilisoma shule ya jesh jina kapuni so kulikuwa na askar mmoja ana mwili mkubwa na c. Unajua walimu huwa kwa wanafunz wana majina yao ya utan so tulikuwa tunamuita jambo kubwa ingawa mwenyew hakufaham na kama alifaham alikosa ushahd so cku iyo aliniagza nikawaambie wanafunz wenzng kuwa ikfika saa...
Kwenu wakubwa kwa mwajina Hamisi Ally
Elimu kidato cha sita (06)
Makazi: Dar,mabibo
Miaka:25
Kijiwe:kariakoo
Mwenye connection itakayoniwezesha kupata pikipiki ya mkataba
naomba tuwasiliane
0685176087
Maisha ni kupeana fursa
Pia kama kuna ajira yoyote nipo tayari kufanya
Naomba msaada wa kisheria.
Ukiwa kama wewe ni mshitakiwa ambapo kesi yako imeshatajwa mara mbili na ulitokea ikahairishwa hadi muda mwengine ndo ianze kusikilizwa, ndani ya muda huo wewe hautakuwa na muda sababu ya jambo lako binafsi (sio lazima niliweke hadharan), ambalo haliwezi kukubaliwa na...
Kiwanja kinauzwa kibaha kwa mathias17*17...Hakuna gharama za kukiona ni bure
Gari hadi ndani..
0613008960
KM 3 tu kutoka Morogoro road hati ipo
Maji na umeme vipo shule ipo pamejengeka hamna mapori na pamechangamka
Kipo pembezoni mwa barabara ya mtaa
Wahi mapema mwenyewe ana shida ya...
Habarini ndugu
Nina shida na mkopo wa kiasi cha shilingi milion 6 kwa mtu binafsi au microfinance ambayo hawaitaji lesen ya biashara au niwe mwajiriwa ili kupata mkopo
Nahitaji mkopo huo kwa dhamana ya kiwanja cha mita 23 kwa 23 kilichopo kibaha kwa mathias , mtaa unaitwa mita 50 kiwanja kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.