Madabadaba a.k.a Ganja Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro
Kijiji kiko ndani ndani hatarii-porini,nilikutana na wasukuma(wanaDress kama wamasai+fimbo) kibao_Ni mwendo wa kisukuma...
Kwa mara ya kwanza nilikosa kushuhudia pisi za kisukuma_kila mwanamke yuko na watoto wa kutosha!
Ooh namna gani tena hapa..
Mkuu wife kacheza rafu mbaya sana hiyo(na nafikiri kuna namna ambayo umepelekea iwe hivyo-unamruhusu mke wa ndoa aondoke ili tuu msi-collapse..this too bad aisee..yaani unampa GoAhead ya safari ili tuu umfurahishe wife(kwelii?)! Bila ya kuProbe kiundani..
Vp tickets...
Usije ukadanganywa na perceptions za mwanamke ambaye anasema kwake PESA sio kitu bali Upendo,kuheshimiana,kusikilizana...kwamba hayo ndo yanasukuma maisha..aisee! You have to rule out indeep,unaweza kuta that kind of woman yuko na hitaji sana la kuwa into relationship(ndoa) by the time ushamweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.