Chama chake cha ACT?
Chama cha CCM bana, Zitto acha ubebish
Email ni yako acha uwongo.
Watu wamechota fedha kwa masandarusi na wakakataa sasa sikushangai wewe ukiruka email
Kuna kuku wangu amekufa na kideri lkn kuna mtu ameniambia ana ushahidi si kideri kimemuua, ameniambia Chadema ndiyo wamemuuwa ngoja alete ushshidi tuupeleke polisi wafuatilie. Haiwezekani Chadema wauwe kuku wangu.
Hamna mwenye picha ya huyo mchange nione hata anafananaje ??
Sijamsikia wala kumuona akiongea ila habari zake ninazosoma namuona huyu mtu sii mzima kabisaaa.
Atakuwa ana matatizo mengi sana, kimwili+kidunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.