Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,247
Ujenzi wa chama changu kwa msisitizo chama changu
Ni chama chake mkuu wewe ulitaka aendelee kuficha ukweli?
Ujenzi wa chama changu kwa msisitizo chama changu
Ujenzi wa chama changu kwa msisitizo chama changu
sasa nimeamini ni za kweli. mbona ametoka kujibu mapema hivi??? et font zunatofautiana aoneshe font zilizotofautiana
Mnaodhani mna chama inabidi mfikirie upya.
Kutoka Zitto Zuber Kabwe mpaka Zitto Ruyagwa Kabwe, huyu Ruyagwa ni nani?
sasa nimeamini ni za kweli. mbona ametoka kujibu mapema hivi??? et font zunatofautiana aoneshe font zilizotofautiana
wewe mbona chako CDM?
Kila siku jambo la kwanza huwasoma watu wangu mashuhuri nchini kama mitandao toka Slaa, Zitto, Mnyika, Maria Sarungi na #ChangeTanzania , Abdallah Mwinyi, January Makamba, Mohamed Mtoi, na wengineo wengi tu kupata habari zao mpya na mambo muhimu yanayowagusa.Maneno ya Zitto Kabwe
Nimepewa taarifa na kupata kuona email za kizushi zinazojaribu kunihusisha na mawasiliano feki na Mwigulu Nchemba.
Kwa mtu yeyote mwenye uelewa hata mdogo wa uhariri wa picha kwa kompyuta mfano Photoshop, anaweza kugundua kwa wepesi kuwa email hizi zimehaririwa kwani hata maandishi yaani fonts ni za kupishana.
Nawahakikishia watanzania wote kuwa email hizi ni feki na za kizushi.
Sitakubali kupoteza muda kujadili uongo na uzushi kwani hivi sasa niko katika ujenzi wa chama changu ACT - Wazalendo nchi nzima.
Nawashukuru wote walioonyesha imani kubwa kwangu na kutambua kuwa siwezi kujihusisha na mbinu yoyote chafu. Siku njema
Leo tupo Morogoro, kesho Dodoma
Hana muda wa kipuuzi huo, kazi iliyopo sasa ni kusambaza UZALENDO tu, hiyo singo ilishabuma na hilo gazeti linatafuta Kiki tu, kwanza ndio mara ya kwanza nasikia kuna gazeti hilo
Hana muda wa kipuuzi huo, kazi iliyopo sasa ni kusambaza UZALENDO tu, hiyo singo ilishabuma na hilo gazeti linatafuta Kiki tu, kwanza ndio mara ya kwanza nasikia kuna gazeti hilo