Recent content by Kenneth Nollo

  1. K

    Waziri Muhongo azomewa!

    Cooked story
  2. K

    Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

    Ni wazo zuri,ila pia mabenk siku hizi yana hitaji dhamana isiyo hamishika ambayo ni nyumba,kwa suala la kuzungushia mtaji changamoto kubwa ni kuwa aina ya biashara na pia is watu wote wana weza fanya biashara kwa umakini na kuindeleza! Kumbuka ujasiria mali una hitaji follow up ya karibu sana...
  3. K

    Ndugai: Acheni kuchangia mambo ya Parokia bungeni

    Heheheheeh hii Parokia/vigango! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. K

    Mahakama ya Rufaa yamrejeshea ubunge Aesh Hilal wa CCM

    Haki imetendeka hongera zake
  5. K

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Mnyika kapeleka hoja ya ukosefu wa maji dar lakini anasoma tatizo la maji nchi nzima,Ndugai anasema mbona hasomi alicho lenga kuwasilisha!! Hapa Mnyika kaonekana mburula!
  6. K

    Kwa Wana Mtwara: RAIS AMEWADHARAU MNOOOO

    Rais alikua ana hutubia watanzania wote na sio wana Mtwara! Wewe ndio huelewi kabisa
  7. K

    APRC: Upinzani Tanzania Dhaifu sana, CCM Imara Sana na Itatawala Muda Mrefu

    Upinzani kwa Ujumla ulipata 39 percent,ukija kwa upinzani kwa kila chama mpinzani aliepata asilimia nyingi ni 26 tu! Kwa hiyo chukua asilimia 61 uweke kwenye range na asilimia 26! Utaona APRM wanachosema! Usibishe na takwimu!
  8. K

    Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

    Haki yako inapo ishia ndipo haki ya mwingine inapo anzia!
  9. K

    Viongozi wa wa CCM, kwa hili mmeteleza! Mnatupa unyonge wafuasi wenu. Ni heri kujisahihisha...

    Mleta mada kaja kinafiki na hoja yenyewe ipo kinafiki sana,sasa tupoteze muda kwa kujadili UNAFIKI ? yani Propaganda yako hata asiye na akili anaigundua Mkuu!
  10. K

    Viongozi wa wa CCM, kwa hili mmeteleza! Mnatupa unyonge wafuasi wenu. Ni heri kujisahihisha...

    Umekua POPO yani Viongozi wa Chadema wa kwako na Wa CCM wa kwako! Una kadi mbili za CCM na Chadema? Rudisha kadi moja wapo hapa unafanya unafiki tu huna jipya kujifanya upo CCM na Majungu yako kutoka Chadema!
  11. K

    Mwigulu Nchemba apata wakati mgumu mjini Kiomboi Iramba

    Wakati mgumu kuombwa pesa??? Haiendani na maada! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  12. K

    Kinana: Serikali iwasikilize wananchi wa Mtwara

    Kinana na Nape wana ingia baraza la mawaziri? Tumia akili bana
  13. K

    Kinana: Serikali iwasikilize wananchi wa Mtwara

    Safi sana Kinana na Nape suluhu la jambo hili ni Ushindi kwa amani ya nchi yetu,japokua kuna wajukuu wa Shetani ambao wao watu wakiuawa wanao ni jambo nzuri na kuona sasa nia yao ya 2015 ina kamilika!
  14. K

    "Hongera CHADEMA na DR. Slaa kwa kutojiingiza wala kuongea kuhusu Mtwara"

    Mimi naanza kupata wasiwasi juu ya uelewa finyu wa member wa JF,Naibu Katibu Mkuu wa Chadema amekua mstari wa mbele kushadadia sana siasa za mtwara leo unasema Chadema imejitenga na suala la mtwara!
Back
Top Bottom