Recent content by Kennedy Shirima

  1. Kennedy Shirima

    Mahindi yanauzwa bei nafuu kwa gunia

    Nimeshaifadhi yangu bei ni kua nzia elfu40 hadi 50 elfu.
  2. Kennedy Shirima

    Natafuta mkopo Milioni 5

    Elfu 45 hadi 50 elfu.
  3. Kennedy Shirima

    Natafuta mkopo Milioni 5

    Kwa elfu 45 hadi 50 elfu.Mahali-Moshi
  4. Kennedy Shirima

    Kuna 90 elfu, niuzie Huawei y300 au Tecno H5

    Nina Tecno H5 mpya nauza ungeongeza 10000 ingekuwa mzuka no yangu ni 0762283253
  5. Kennedy Shirima

    Nahitaji simu hizi, Huawei y300 na Tecno H6

    H6 ipo kwa bei nafuu mpya toka dukani kwa mawasiliano 0762283253 napatikana Moshi Zipo nyingi
  6. Kennedy Shirima

    Fursa ya Ujasiriamali kwa wenye mtaji mdogo

    Aise bro asante sana ntakutwangia
  7. Kennedy Shirima

    Natafuta mkopo Milioni 5

    Bro utakuwa na mahitaji ya mahindi huku yanapatikana kwa bei nafuu no yangu ni 0762283253
  8. Kennedy Shirima

    Mahindi yanauzwa bei nafuu kwa gunia

    Mahindi yanauzwa kwa bei nafuu kwa gunia.Nimeona niwajuze wakuu,kwa maana huku msim huu mahindi ni kibao.Si mnaona hali ya kiangazi kwa sasa fanyeni fasta yasije yakaisha no yangu ni 0762283253,asanten sana.
  9. Kennedy Shirima

    The Different Habits Between Successful And Unsuccessful People

    Dah nashukuru sana mkuu kwa kutushirikisha Gud niwakati wakubadilika sasa tuamke
  10. Kennedy Shirima

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Hii ndo yenyewe sasa,spain aoni ndani msim huu Uholanzi oyeeeeeeeee
  11. Kennedy Shirima

    Kilimanjaro: Baba ambaka mwanae na kumwingilia kinyume na maumbile

    Laana kwake abakae mtu,jamani tena mtoto! Mungu huturehem.Hii inaonyesha huyu jamaa jinsi alikua hana upeo wakufikiri mmh
  12. Kennedy Shirima

    Nmemkumbuka mwalimu wangu wa Primary

    Shule ya huyu jamaa ilikua bomba asee
  13. Kennedy Shirima

    Hivi soya beans inalipa?

    Wana jf napenda kujua kuwa soko la soya beans hivi inalipa? Nataka nianze kulima msim huu hizo soya hususani zile za njano naomba niulize haya maswali kadhaa hivi zinaitaji hali gani ya hewa ili zi stawi vyema? na zitachukua mda gani hadi nivune? Katika eneo la ekari moja naweza vuna magunia...
  14. Kennedy Shirima

    Nyumba inakodishwa

    Asante mkuu michepuko kwa wazo lako zuri na upeo wako wa kufikiri umeonambali sana shukrani.Nitafika uko ndani ya wiki hii inayo anza alafu nta post picha zake apa na nyumba ipo karibu na barabara 7meta kutoka barabara kuu karibuni wote asanteni.
  15. Kennedy Shirima

    Nyumba inakodishwa

    Kwa wale wote waishio Dar napenda kuwa taarifu kuwa kuna nyumba yenye rum nne na seble moja pamoja na vyumba vingine viwili vilivyopo nje,ipo eneo la majohe na ina mazingira safi ya kupendeza na inakodishwa kwa bei nafuu karibuni sana kwa mawasiliano zaidi piga namba 0762283253 au...
Back
Top Bottom