Recent content by kennedy james

  1. K

    Tume ya Uchaguzi yatoa Ufafanuzi kuhusu wabunge wa CUF walioteuliwa

    Nyie ni watu wa ajabu kweli kweli, NEC inafanya kazi kwa mujibu wa sheria, kwa nini mnailaumu tume au spika? waambieni viongozi wenu wakae na kufikia mwafaka ili yote wanayoyafanya yatokane na vikao. Mwenyekiti na Katibu hawaelewani, je mtafika? msipokuwa makini itafikia kuwa historia ya chama...
  2. K

    Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    Unaongea kiushabiki lakini hujui kitu, na pia hujui mamlaka ya polisi yakoje kwa mtu anayekaidi amri inayotolewa Polisi.
  3. K

    Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    Ni kweli kabisa aliambiwa aondoke lakini akawa anasisita sifahamu anachojivunia au kwa kuwa.......... kwa hiyo hakupenda utiifu wa sheria bila shurti, polisi alifanya kazi yake kama itakiwavyo, ni vema wanasheria wawe mfano bora kwa utiifu wa sheria.
  4. K

    Baadhi ya maprofesa, uprofesa wao uhakikiwe

    UNASEMA UCHWARA ? DUNIA NZIMA ANAFAHAMIKA KWA UBOBEZI KATIKA MAMBO YA CHUMI, KAMA HUNA LA KUSEMA KAA KIMYA.
  5. K

    Kituo cha Sheria kinalitaka Bunge kusitisha maamuzi yake dhidi ya wabunge wa CUF

    Kwa kuwa hakuna sheria inayompa ni muda gani aishughilikie barua baada ya kuwa imepitia ngazi zote zilizotakiwa, nawashangaa sana wana sheria kuanza kumlaumu Spika !! yeye alichofanya ni kufuata tu wajibu wake kama spika. Acheni kutoa lawama ambazo hazina msingi wowote, wakae wana CUF...
  6. K

    Wanawake wanaolialia kitandani huongeza confidance ya mwanaume

    Baadhi ya vijana Watanzania wanatumia muda mwingi kufikiria maswala ya ngono badala ya kufikiria maendeleo, utaweza kupga hatua au kuboresha maisha yako kama itakuwa muda mwingi unafikiria ngono tu,
  7. K

    Waumini waliokamatwa msikitini Kilwa waibua maswali

    Wahalifu tuwazuie kuingia katika nyumba za kuabudia iwe ni kanisani, hekaluni au msikitini, vinginevyo askari ataingia sehemu yoyote ile kwa manufaa ya usalama wa nchi, tuzingatie hilo.
  8. K

    Waumini waliokamatwa msikitini Kilwa waibua maswali

    Ndugu zangu, awali ya yote natoa pole kwa wale wote waliopata madhara baada ya askari kuingia ndani ya msikiti, tunaamini kwamba waliingia ndani ya msikiti baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamalia wema kuwa ndani ya msikiti kuna BAADHI yao si watu wema kwa usalama wa waliokua ndani na je...
  9. K

    Kuelekea mezani na ACACIA, tumepigwa kabla ya meza?

    Si kweli kama wametuacha mbali ila wao wanaushirikiano wa hali ya juu sana, huwezi ukasikia hata mmoja akikandia utawala wa nchi yake. sisi tuna akili kama wao tofauti iliyopo ni kwamba wao walituchukulia mali ikawa ndo mtaji wa kutunyanyasa sisi, lakini safari hii watakuwa wameingia anga nyingine.
  10. K

    GE2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

    Mr Mayala nakushauri wakati mwingine unapoleta maoni mazuri kama hayo tumia maneno ya kiwsahili ili hata yule Masanja, masalu, shija pamoja na mazengo, matonya wakuelewe vizuri. Nashukuru kwa udadaguzi kwa hili jambo ambalo naamini hayo ni maoni yako,na yanaweza yakawa pia mawazo ya watanzania...
  11. K

    Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

    Kama itakuwa ni kweli mchele huo ni plastiki na Mkurugenzi wa TFDA alikataa, naamini atakuwa hatoshi kwa nafasi aliyonayo ajiulize na ajitafakari mwisho achukue hatua.
  12. K

    Tetesi: Watumishi wenye Elimu ya Darasa la Saba walioajiriwa kuanzia 2004 waondolewa kazini

    Serikali ifikirie sana , mtu anaweza akawa ana elimu ya sekondari Lakini asiwe na uwezo katika utendaji wa kazi, kwani wapo wenye elimu ya msingi walijiendeleza katika taaluma zao na kuweza kufikia kiwango cha stashahada hadi shahada, je mtu huyo ataambiwa hajasoma? kwa kuwa tu hana cheti cha...
  13. K

    Jinsi Tundu Lissu anavyolikosesha maendeleo jimbo lake

    Hapo ndo utakapojua kuwa kachumbali ni mboga, ulimi uliponza kichwa, hivyo ajirekebishe na kauli zake anazozitoa kwa mkuu wa kaya.
  14. K

    Kuitwa kwenye usaili TFDA

    SHORTLIST HIYO NI NKUBWA SAANA, WANGECHUKUA WATU KAMA 100 TU.
Back
Top Bottom