Tata Maestro
Senior Member
- Jan 8, 2017
- 169
- 175
Wadau,
Ujumbe umefika, huyu profesa wenu ana tukatisha tamaa, sisi wenye malengo ya kuwa maprofesa.
Hivi maprofesa wetu wa mbongo bahati mbaya huwa wanaupata uprofesa toka vyuo vipi?. Naomba kuvifahamu hivyo vyuo ili niviepuke mapema.
Sitaki kabisa kwenye uzee wangu niwe kama hawa maprofesa wenu, maana kuwa na mvi ni busara au kwavile hawana umvi?
Aseeee wanakera sana, mpaka tuna mlaamu Mungu kwa kutunyima uwezo wa kuwawajibisha sana sana kwa viboko.
Ujumbe umefika, huyu profesa wenu ana tukatisha tamaa, sisi wenye malengo ya kuwa maprofesa.
Hivi maprofesa wetu wa mbongo bahati mbaya huwa wanaupata uprofesa toka vyuo vipi?. Naomba kuvifahamu hivyo vyuo ili niviepuke mapema.
Sitaki kabisa kwenye uzee wangu niwe kama hawa maprofesa wenu, maana kuwa na mvi ni busara au kwavile hawana umvi?
Aseeee wanakera sana, mpaka tuna mlaamu Mungu kwa kutunyima uwezo wa kuwawajibisha sana sana kwa viboko.