Kuitwa kwenye usaili TFDA

Kingine weka Akilini Utumishi hawangalii GPA, CISA, CISCO, CPA, CPB, CFA Kwenye kazi ambazo siyo za Kufundisha Vyuo. So Ukifeli Mchujo nyumbani Kuna watu wengine wanakua comfortable na GPA walizozipata SAUTI huko.
Tehe tehe
 
Kwann uite watu 1257 kwa watu nafasi nne anagalia nauli za watu 1253 zitaungua bure wangeita watu angalau bc 24 inatosha kabisa.. Hapa Ratio ni 1:314
Wanaweka show tu ili ionekane kwamba kweli ajira zimetolewa tele na serikali na kuwa uncle magu yuko fresh amewapa wote chance ya Sandakarawe!

Today is Today!
 
Kwann uite watu 1257 kwa watu nafasi nne anagalia nauli za watu 1253 zitaungua bure wangeita watu angalau bc 24 inatosha kabisa.. Hapa Ratio ni 1:314
Sandakarawe, amina
mwenye kupata, apate
kipapatio, cha kuku
kuku gani?, mweupe
analiaje?, kwiyo kwiyo
dadeki haya dakeni ajira hizoooo Ewaaaaaaa
all the best kwa wote walioApply kwa watakaokosa wataambulia Ahsante kwa kujaribu ukipata tangazo la kazi tena please kindly apply again.daaaahhh

Today is Today!
 
Usaili umefanyika leo..wa written interview..walisema majibu ya walio pita huo mchujo watatoa leo jioni kupitia website..ili waweze kuendelea na oral interview

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyefaulu sana ana alama 98% na mtu wa mwisho ana alama 0% ila wote wana Degree za IT na vyeti original!! Ninawasiwasi na uhakiki wa vyeti hasa kwa hawa wenye alama chini ya 10% anyway huyo mwenye 0% asikate tamaa ajaribu tena usaili wa TRA!!!
 
Mda mwinģine naonaga hawafanyi uchambuzi vzr ktk kuita watu..maana watu 1257/4?? Haileti picha hapo mtafanya cku tatu mpk nne usiasahau utaacha cm hapo
For your information imefanyika siku moja tuu, kati ya hao 50 wamepata alama 63-98, na ndio waliochaguliwa. Wazee wa kulalama wamemwagwa.
 
Kuna watu wanalalamika sana na sababu zisizo na mashiko. Mm ni miongoni mwa walioitwa kwny interview nimefurahi kuona jina langu na ninaamini kama unaenda kupambana huku ukiwa umejiandaa vizuri kutoboa lazima. Cha msingi mtu uombe kuwa na bahati maana unaweza kuwa na uwezo lakini bahati huna. So vijana tuache kulia kulia tupambane na hali zetu
 
Nilishasema humu, kuwa vijana wengi ku-deliver hawawezi kabisa, yaani wanakuwa wamekaririshwa. Nimefanya simple analysis nimegundua kuwa, wengi waliotoboa kwenye written kada ya ICT ( wamekaririshwa, bcoz wameshindwa ku-deliver Uelewa wao kwenda kwenye Vitendo)
Wengi wetu humu huwa mnatoa option za kujiajiri kwa kutumia vitu tulivosomea hasa kwa graduates( Je kama graduate anashindwa ku-convert anachokielewa kwenye maandishi kwenda kwenye vitendo unafikiri anaweza kujiajiri kutumia falculty yake??)

Just have a look mtu amepiga written 73 then anakuja Vitendo 20? is it possible kweli? Hii inaashiria ni aina gani ya watu wanavyomeza tu bila kuelewa, alafu wanalalamika kuwa Utumish hawako fair. Vijana badilikeni!! kuweni Competent & Competitive. Acheni kusoma Course ili mpate Loans from HSELB, Soma course ambayo mwisho wa siku utaweza ku-deliver
Analysis.PNG
 
Wandugu mlio omba TFDA mambo yamekwiva, mchuano mkali zaidi kwa wale mlioomba nafasi ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY OFFICER wameshortlist watu 1257 sikumbuki zilikua post ngap naomba wanamahesabu mtufanyie probability ya kila mtu kupata ikoje!
Kila lakheri nawatakieni interview njema!

SHORTLIST HIYO NI NKUBWA SAANA, WANGECHUKUA WATU KAMA 100 TU.
 
Unawachujaje watu wenye sifa zinazolingana kupata hao 20?

Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Wangeita watu 20 bado mngelalamika wamependelea watoto wa wakubwa huku watoto wa wakulima mumeachwa, sasa mumepewa nafasi sawa ya kupambana bado mnalalamika, shida ni nini?

Tupunguze kulalamika ndugu zangu.
hapana mkuu sio kulalamika hivi sio vizuri nikusumbua wanaomba kazi fikiria hapo kuna watu wa mbeye , kigoma, mwanza na kwingineko ni gharama kiasi gani watazitumia kufanya usaili hewa. tunaongezeana umasikini kwa namna hii , mfano mwingine ni Gaming Board walikua wanahitaji muhasibu 1 alafu wakaita watu 2600 unaona ni fair hiyo???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom