Akili na mafundisho ya zzk kwa wafuasi wake ni kuichukia chadema.
Wako tayari kuisaidia ccm lakini sio kuona ukawa wanashinda.
Siasa za chuki zimewatawala.
Umimi na kujiona bora kuliko wengine ni janga kwa zitto
Shemeji yetu tunakuomba sasa inatosha.
Muachie kamanda wetu atoke ili tushirikiane kuing'oa ccm.
Ukiwa hata mke wa speaker, waziri mkuu au mke wa katibu mkuu kiongozi inatosha.
Watanzania ni muhimu zaidi kuliko ufirstlady.
tunamuombea msamaha kamanda wetu.
Mungu akubariki sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.