Recent content by Kenedy Adam mwamagemo

  1. K

    Je, inawezekana kutajirika kupitia kubeti kwenye michezo?

    Elfu 1000 mbona nyingi beti na shillingi 100. It's possible but really hard work bet for fun and u might succeed. Betting with an intension of looking for income and you will lose to much time and money
  2. K

    Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

    Mbona mo dewji anauza mo passion na amegraduate harverd university
  3. K

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Kama una namba za nida mbili hiyo Haina shida
  4. K

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Ruka nao tu kwanini uwaachie hela yako wakati Maisha ya kitaa hakieleweki na hela yako imeshikiliwa na watu wengine
  5. K

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Download application ya nssf play store and register urself that simple
  6. K

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Ungefukuzwa ungekuwa una advantage nssf. Kuacha meenyewe kazi Haina dili nssf
  7. K

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Mambo yamekaa sawa. We kaa mbali na bar tu mwaka huu
  8. K

    Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

    Hela nyingi Sana hiyoo. Asiendekeze matanuzi tu ya Huko mjini Ila kwa mtu anaejielewa ni hela nyingi Sana san
  9. K

    Ni recruitment portal ipi unayoikubali na kuiamini?

    Kwangu Mimi portal zote mnazo taja Niko but sehemu ambao Niko comfortable seeking for jobs sio portal Bali ni application ya LinkedIn. Their is a lot of information their
  10. K

    Nimeacha kuomba kazi za kozi niliyosoma

    I like the way u think maana sio kila kazi ni solution to your problem Kuna some jobs is just a waste of your energy and time. I think we should not concentrate on getting employed sometimes
  11. K

    Aptitude test TCB

    Do not waste your time waiting imeshaisha iyo the strong survive and the weak disappear
  12. K

    Sales position for men only

    Ukiangalia email ya ku apply kazi I think it's insurance selling
  13. K

    Aptitude test TCB

    Watakuwa wanatoa kwa walio toboa passmark Yao tu
Back
Top Bottom