YHK geneous
Senior Member
- Jun 24, 2017
- 188
- 122
Ungekuwepo pale ungefaulu mtihani wote, watu wametoka wakawa wanatoa majibu ya maswali.
Jamaa hawawezi kufanya ishu ya interview. Too many unnecessary procedures. Watu wamekalishwa juani masaa.
Nilkuepo na mtihani nilifnya intake ya pili... na ckupata mtu wa kutoa hayo majibu mimi...